Nina uhakika atapata michango iliyotulia kuliko hizo simu atakazokuwa anapigiwa na walewale mabingwa wa kupiga simu kina Manase Muhaha, yule Ustadh wa Tegeta, Chesco mzee wa matunda nkJK kama anataka discussion aanzishe thread humu JF!
Ni kweli atakuwa anayajua. Lakini kwa nini sasa ameamua kutupotezea muda eti anataka kuongea live? Anatuzuga au zecomedy nyingine?The Farmer;577840]Buchanan, Hakuna sababu yoyote ile ya kupewa maswali in advance. Mambo yanayokera watanzania yanajulikana sitegemei kama kuta kuwa na swali ambali Rais JK atakuwa hajawahi kulisikia.
Kama ulishajaribu kupiga simu kwenye vipindi live vya TV basi hutashangaa. Labda utumie simu ya mmoja wa wasaidizi wake (may be January au Salva) ili akupigie cross. Siyo jam tu, kuna uwezekano mkubwa nyingine zitakuwa "not reachable"! Hii ni Bongo Darisalam ndugu yangu!Kama kweli hapa rais ameamua kuongea live na wananchi tunatahadharisha tusije kukakosa line kwa sababu ya JAM kwenye mawasiliano...
na huu ndo ukweli wenyewe, watajiuliza maswali na kujijibu, leo ndo mtaona vituko.Unaweza kukuta tiyari wamesha andaa watu wa kuuliza maswali!
Amejiandaa kujibu maswali ya papo kwa papo kutoka kwa wananchi? Hofu yangu ni kwamba mengine yanaweza kuwa embarrassing kwa mkuu wa nchi. Hii imekaaje? Au kuna watakaoandaliwa kuuliza maswali?
watu wanacholalamika sana ni maswali kwenda yahoo.comDuh, hizi chuki zinakwedna vipi jamani sii ndio Ya obama kutyaka kuzngumza na wanafunzi Republican wakapinga vibaya vibaya lakini wao alipohutubia Reagan na Bush mzee haikuwa shida.. Tumewaona Mwinyi, Mkapa wakizungumza tena pumba tupu lakini haikuwa na upinzani kama huu..
..
Kumbe ikulu kuna email hiyo hapo. Kwa isitumike hiyo?????????????????
Ngongo .. i believe unaelewa unachomaanisha .. so kifupi ni kwamba tukiwa kama sovereign state kwanini tutumie free tools (which are being administered by foreigners) ku-discuss mambo yetu ya ndani?? tena ikulu?? wakati tunao watu tunaowalipa kwa kodi zetu kushughulikia mambo haya?? wtf ..!!
Walitakiwa wafikirie kwanza kabla ya kuanzisha mpango huu,kwasababu wananchi wengi wana hasira na nchi yao,kwahiyo na hakika maswali mengi yatakuwa ya kumdiscredt mheshimiwa kutokana na utendaji wa serikali yake,na hii inaweza msababishia stress na hasira ambazo amezitengeneza mwenyewe,ukizingatia kuwa huyu mheshimiwa hana system ya kujibu vyema since day one!!
ahaa ahaa du! umenikumbusha redio one saa za jioni.Nina uhakika atapata michango iliyotulia kuliko hizo simu atakazokuwa anapigiwa na walewale mabingwa wa kupiga simu kina Manase Muhaha, yule Ustadh wa Tegeta, Chesco mzee wa matunda nk
.................i'm sorry to say mi nadhani ile michezo ya kuigiza inaendelea. Nothing will come out of this. Maswali yameshapangwa....na majibu tayari yapo.......its really a waste of time to think eti kuna genuine nia ya kusikiliza maoni ya wananchi......BSMkuu heshima mbele, lakini hapo juu tafadhali tutake radhi! Nani ka kwambia JK hajaulizwa maswali. Ameshaulizwa sana tena sana tuu. He knows all our questions. So hizo dakika 90 aje na majibu. Ni upuuzi kusema eti raisi hajui the basic questions za watanzania sasa hivi. Utakuwa ni mzaha kabisa. Hata kama wewe makandara hujui maswali ya watanzania ambayo hayajajibiwa long agoo basi it is better tuuwe media zote tz.
Kwani ni issue ngapi amekuwa na wakati mgumu kuzi adress na watu wanajua but nothing is going on bana? Tutafute kila mbinu ya kuwakilisha? what do you mean sir?
Hata angekuwa anasikiliza maswali/maoni ya wananchi kila siku, kama hamna DHAMIRA YA UTEKELEZAJI na UWAJIBIKAJI ni bureee. Issue sio kuwa na database ya maoni au maswali, that is not the issue. Issue ni utekelezaji wa mambo. Hata kama angekuwa anapokea ushauri mmoja kwa mwezi na anaufanyia kazi effectively, ni bora zaidi kuliko huu mzaha wa kupokea malalamiko/maswali randomly kutoka kwa wananchi. This thing is not practical bwana. Inamaana watu wa kule mahenge watauliza kuhusu issue ya Zombe, wa kigoma barabara na reli, wafanyakazi PAYE kubwa... huoni huu ni mvurugano. Angetoa topic au area of focus walau the questions zingekuwa specific and focused lakini hili sioni kama kuna dhamira yeyote.
.................i'm sorry to say mi nadhani ile michezo ya kuigiza inaendelea. Nothing will come out of this. Maswali yameshapangwa....na majibu tayari yapo.......its really a waste of time to think eti kuna genuine nia ya kusikiliza maoni ya wananchi......BS
...........me too 🙂Nitakuwa busy na big brother huyu muungwana hana kipya!