Mkuu heshima mbele, lakini hapo juu tafadhali tutake radhi! Nani ka kwambia JK hajaulizwa maswali. Ameshaulizwa sana tena sana tuu. He knows all our questions. So hizo dakika 90 aje na majibu. Ni upuuzi kusema eti raisi hajui the basic questions za watanzania sasa hivi. Utakuwa ni mzaha kabisa. Hata kama wewe makandara hujui maswali ya watanzania ambayo hayajajibiwa long agoo basi it is better tuuwe media zote tz.
Kwani ni issue ngapi amekuwa na wakati mgumu kuzi adress na watu wanajua but nothing is going on bana? Tutafute kila mbinu ya kuwakilisha? what do you mean sir?
Hata angekuwa anasikiliza maswali/maoni ya wananchi kila siku, kama hamna DHAMIRA YA UTEKELEZAJI na UWAJIBIKAJI ni bureee. Issue sio kuwa na database ya maoni au maswali, that is not the issue. Issue ni utekelezaji wa mambo. Hata kama angekuwa anapokea ushauri mmoja kwa mwezi na anaufanyia kazi effectively, ni bora zaidi kuliko huu mzaha wa kupokea malalamiko/maswali randomly kutoka kwa wananchi. This thing is not practical bwana. Inamaana watu wa kule mahenge watauliza kuhusu issue ya Zombe, wa kigoma barabara na reli, wafanyakazi PAYE kubwa... huoni huu ni mvurugano. Angetoa topic au area of focus walau the questions zingekuwa specific and focused lakini hili sioni kama kuna dhamira yeyote.