Ni kitu kizuri sana,ila viongzoi wengi wa mwaka 1947 wengi waliwalisisha tabia za usiri vijana wa miaka ya 1980 ambao walio wengi leo ndio viongozi wetu.Hakika wengi wameficha sana taarifa zao nyingi
Ila upatikanaji wa taarifa zapo za utotoni na ujanani sio shida,shida ni nani atagharimia upatikaji wa taarifa hizo ukizingatia upatikanaji hiuo hautapitia mfumo wa kibongo bali kutumia shortcut wa kumanipulate source ya information ili iweze kutoa data na information pasipo kuitaji mlolongo mlefu wa kumuona katibu kata na barua ya mkuu wa mkao kwamba ni dta fulani na fulani tu ndio zitoke na si vinginevyo.Wakati taarifa za kiongozi ikibidi hata za kitabu cha Black book zama za sekondari zipatikane.
Watwala walio wengi wa sasa,hawapedni kuonyesha upande wa maisha yao ya utotoni na wengi kuishia kuficha mambo muhimu ambayo yatatoa indication ya kiongozi aliyeko madarakani amepitia kwenye maisha ya aina gani ambayo yameinflunce mienendo mizima ya jinsi anavyo amua maamzuzi yake kwa mujibu wa jinsi alivyolelewa.Waswahili hawakukosea kusma mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Swala kwa zama hizi tulizo nazo tunaitaji investigation Journalism, ambao media zao zitawalipa vizuri kwenda kutafuta habari kwenye vyanzo kuhusu viongozi walengwa.Naona tatizo letu ni vyumba vya habari kutokuwa na maono ya kuunda news na kuwa creative wa kuunda habari.
Bali JF tunanafasi kubwa sana ya kuchangia kupata taarifa za viongozi wetu hawa haswa huko mitaani [Ni vyema kama umeikuta inaitwa ni hears say au rumous ilete na andika kuwa ni hears say au rumous basi wenye kujua watatoa recommendation kwenye thread kisha wenye ufahamu watapigia mstari>
Mfano kuna Kuna Kiongozi mmoja maalufu kanda ya magharibi,rumous zinasema yeye wakati ule wa shule ya msingi enzi zake walikuwa ni wale watoto ambao kila anakopita uacha ALAMA YA UTAMBULISHO WAKE.Unaweza kupita kwenye daraja au kuta za majengo ya umma kama Community Centre ukakuta maandishi [Kizazi cha leo tunsema Charter] yakimtambulisha yeye kuwa "................AMEPITA HAPA".Hivyo basi unaweza kujua ni namna gani maisha ya utotoni yanavyoweza kuonyesha ni jinsi gani unaweza kuwa mtoto mdogo lakini ukaonyesha your true colour.
Kwa technology ya sasa Viongozi wategemee taarifa nyingi sana ama za kweli au za uongo kuwahusu kipimo kitakuwa ni umma kuamua nani yuko sahihi kwa kuwa ulimwengu umekuwa kiganjani.Leo hii watu walidiliki kuonyesha picha za binti ambae inatuhumika kuwa alikuwa ni mama ya kiongozi mkubwa wa Taifa kubwa ulimwenguni zikiwa na muonekanao usiopendeza.Hivyo Taarifa nyingi kwa mujibu wa technolojia zitakuwepo kwenye vioo vya computer,simu kwa muda mfupi popote pale.
Wazo zuri mwenye taarifa zozote, zimwageni!!