Kikwete: Magufuli ametekeleza Ilani kwa 85% ila Bashiru anasema ametekeleza Ilani kwa 100% na amepitiliza

Kikwete: Magufuli ametekeleza Ilani kwa 85% ila Bashiru anasema ametekeleza Ilani kwa 100% na amepitiliza

G Sam

JF-Expert Member
Joined
Apr 20, 2013
Posts
11,795
Reaction score
36,704
Leo Rais mstaafu ndugu Jakaya Kikwete akiwa Chalinze na mgombea mwenza wa Rais Magufuli, amesema kuwa Rais Magufuli anetekeleza ilani ya CCM kwa asilimia 85 hivyo anaomba wananchi wamchague tena

Nakumbuka Katibu mkuu wa CCM ndugu Dkt. Bashiru Alli alisema kuwa Rais Magufuli ametekeleza ilani ya CCM kwa asilimia 100 na amepitiliza ikiwemo swala la kuingia uchumi wa kati kabla ya muda uliopangwa

Aisee JK bora akae nyumbani tu maana ajue kuwa kuna mtu anawania kwenda kipiga deki vyumba vya malaika huko mbinguni hivyo asimtie doa.
 
Ilani ipi ? kuna ilani ya chama na ilani ya mwenyekiti, hata kura alikuwa anasema nipigie mimi, sio kipigie chama
 
Mbona Zitto alisema wametekeleza kwa 31%
 
Back
Top Bottom