Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Rais wa awamu ya nne leo akiongea na kituo cha redio cha Clouds FM kwenye kutimiza miaka 72 tangu aje duniani, ameongelea uchaguzi wa ndani ya chama cha CCM mwaka 1995.
Kikwete amesema baada ya Benjamin Mkapa kuteuliwa na CCM, watu waliokuwa upande wa Jakaya Kikwete walipandwa na Jazba akiwemo mama Anna Makinda ambae alidai angelikuwepo mgombea binafsi basi wangemuunga mkono JK kuwania nafasi hiyo.
Kikwete amesema wapo waliotaka wakasajili chama kipya ili JK apeperushe bendera.
Kikwete aliwaambia 'calm down' kwani 'advantage waliyonayo umri wake bado unaruhusu kwani alikuwa na miaka 45 muda ule na miaka kumi inayofata angekuwa na 55 sawasawa na umri aliokuwa nao Mkapa 1995.
Kikwete amesema alipoomba kuzungumza kwenye mkutano wa CCM, walipata hofu.
Kikwete amesema baada ya Benjamin Mkapa kuteuliwa na CCM, watu waliokuwa upande wa Jakaya Kikwete walipandwa na Jazba akiwemo mama Anna Makinda ambae alidai angelikuwepo mgombea binafsi basi wangemuunga mkono JK kuwania nafasi hiyo.
Kikwete amesema wapo waliotaka wakasajili chama kipya ili JK apeperushe bendera.
Kikwete aliwaambia 'calm down' kwani 'advantage waliyonayo umri wake bado unaruhusu kwani alikuwa na miaka 45 muda ule na miaka kumi inayofata angekuwa na 55 sawasawa na umri aliokuwa nao Mkapa 1995.
Kikwete amesema alipoomba kuzungumza kwenye mkutano wa CCM, walipata hofu.