Kikwete na Nyerere walikuwa ni Marafiki Sana na walitoka mbali sana Hebu watizame!

Kikwete na Nyerere walikuwa ni Marafiki Sana na walitoka mbali sana Hebu watizame!

Ni kweli,lakini hapo mwalimu alikuwa kishazeeka na JK anaonekana kijana kabisa.

Kwahiyo maybe kauli sahihi ni "JK ameotoka mbali na mwalimu"?

Maana ukiongelea "mbali" ya mwalimu.JK pengine alikuwa shule ya msingi.

Anyways its a good picture.JK najujwa anapenda mpira wa kikapu,ila sijui occassion ilikuwa ni kitu gani,je JK alikuwa waziri wa mchezo na utamaduni?

Tukio lilikuwa nini?ama ni timu ya basketball?maana nakumbuka kulikuwepo na timu ya PAZI.
 
Na ndio maana aliona mbali akasema kikwete bado hafai kuwa raisi ila watu wakafanya hila dhidi Ya Salim A. Salim ili awe raisi, R.I.P Baba wa Taifa!
 
Ni kweli,lakini hapo mwalimu alikuwa kishazeeka na JK anaonekana kijana kabisa.

Kwahiyo maybe kauli sahihi ni "JK ameotoka mbali na mwalimu"?

Maana ukiongelea "mbali" ya mwalimu.JK pengine alikuwa shule ya msingi.

Anyways its a good picture.JK najujwa anapenda mpira wa kikapu,ila sijui occassion ilikuwa ni kitu gani,je JK alikuwa waziri wa mchezo na utamaduni?

Tukio lilikuwa nini?ama ni timu ya basketball?maana nakumbuka kulikuwepo na timu ya PAZI.
JK Alikuwa Mlezi wa Mpira wa Kikapu...

Kuhusu kutoka Mabali hilo halina Shaka kwani Jk alishamteua kwenye nafasi mbali mbali za Chama na Serikali...Kumbukia tokea Kule Monduli. Na Umbali sio lazima uwe umesoma na mtu kuanzia shule ya Msingi hata ikizidi miaka kumi tu ni zaidi ya Mbali...

Hizi Occasions za Mwisho za Baba wa Taifa kwenye Viwanja vya Michezo yenye watu wengi...
 
Ikawaje kufa kwwa mshua kukawa loophole wa watu fulani kufaidi inji?
 
Kucheka kaanza Zamani!
 
Na ndio maana aliweza kutabiri na kusema Hafai URAISI kwa Kuwa anamjua nje ndani na amemlea mwenyewe.
 
JK Alikuwa Mlezi wa Mpira wa Kikapu...

Kuhusu kutoka Mabali hilo halina Shaka kwani Jk alishamteua kwenye nafasi mbali mbali za Chama na Serikali...Kumbukia tokea Kule Monduli. Na Umbali sio lazima uwe umesoma na mtu kuanzia shule ya Msingi hata ikizidi miaka kumi tu ni zaidi ya Mbali...

Hizi Occasions za Mwisho za Baba wa Taifa kwenye Viwanja vya Michezo yenye watu wengi...
Nashukuru,JK alikuwa mlezi wa pazi?
 
Nashukuru,JK alikuwa mlezi wa pazi?
Ebana Mimi nilikuwa naipenda sana Pazi Nilipokuwa Mdogo Kwenye uwanja wa Pazi Asilia pale Viwanja vya Gymkhana sasa imegeuka Parking ya Hotel ya Serena zamani Sheraton.... Mlezi nayekumbuka ni Marehemu Mzee Malai JK Ni Shabiki mzushi tu kwani kaliacha Game la Basketball Hoi kiuwanja hadi Wachezaji yeye ndie aliyekuwa Mlezi wa Chama cha Basketball Tanzania na alipoingia White House ndio akatutosa...! navyomjua akimaliza Uraisi atajisogeza tu kwani bado anaupenda mchezo huu kuliko Soccer. Pengine yawezekana Uongozi wa wakati ule wa wakina Marehemu Mbamba haukuwa ukimfurahisha maana jamaa walikuwa wababe na pesa hazionekani... Nakumbuka Aluta alipewa Lifeban kikapu cha Tanzania
 
Kupiga picha ya pamoja ndio urafiki?!!!!!!
Amin+na+Nyerere.jpg
Na hawa je? Utasemaje!!!???
 
Kupiga picha ya pamoja ndio urafiki?!!!!!!
Amin+na+Nyerere.jpg
Na hawa je? Utasemaje!!!???
Kama ndoa zinaweza kuvunjika na watu wakaacha hata kuongea wakati walikuwa wana share kila kitu, iwe urafiki tu.

Hapa duniani hakuna rafiki wa milele na adui wa milele. Hata kwa Kambona na Nyerere yalitokea.
 
Na ndio maana aliona mbali akasema kikwete bado hafai kuwa raisi ila watu wakafanya hila dhidi Ya Salim A. Salim ili awe raisi, R.I.P Baba wa Taifa!

shindwa, salim A salim hakufanyiwa hila na wanachi bali alifanyiwa na kikwete kupitia karamu ya waandishi wa habari kama unabisha muulize hata sumaye alukuwa akigombea hata ubalozi wa nyumba 10 anapigwa chini...
 
Jk ametoka mbali na watu wengi kweli. Hata ray c nae katoka nae mbali na ni marafiki sana.
 
shindwa, salim A salim hakufanyiwa hila na wanachi bali alifanyiwa na kikwete kupitia karamu ya waandishi wa habari kama unabisha muulize hata sumaye alukuwa akigombea hata ubalozi wa nyumba 10 anapigwa chini...

Hukunielewa mkuu,jeykey na kundi lake wakiwemo waamdishi kama Salva wa ikulu ndio walifanya umafia dhidi ya Salim ili asiteuliwe kuwania,na Nyerere alimtakaga Salim agombee kabla hata ya Mkapa,na kutoka mbali na Kikwete hakumuunga mkono awe raisi bali alisema bado hafai!!!!
 
​wivu wa kike....heeeheehe.

Huo ndo ukweli wenyewe, mleta mada kasema jk katoka mbali na nyerere halafu kaweka picha waliopiga pamoja bila kuelezea urafiki wao ulikuwa ktk mambo gani hasa!
 
Kupiga picha ya pamoja ndio urafiki?!!!!!!
Amin+na+Nyerere.jpg
Na hawa je? Utasemaje!!!???
naona meza ya kioo na ashtrays,enzi hizo smoking ndani haijapigwa bani.Na kiti alichokalia mama Nyerere nacho si mchezo kwa enzi hizo!
 
Back
Top Bottom