~ Kikwete na Simba wake wa Kuchora! ~

Kama wameamua kulindana watuambie tu ili tukubali yaishe.

Mzee Mkjj

hapa kidogo nami naona Mh Mhmmhh!!. Hawa jama hakuna haja ya kuwazilia nchi, nchi ni yetu sote na hata kama wanalindana wajue kuwa hilo pilau hawataliwa kwa raha, kwani nzi wa chooni watakuwa wanazunguuka na kutua kwenye pilau hilo hawauliki hawafuziki. Lazima tuseme tusichoke hata miaka 100 mpaka uhuru wa kweli wa kugawa keki ya Tifa kwa usawa upatikane na si wengine kuambulia harufu tu.
 



Asiyekubali kushindwa sio mshindani.




 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…