Kama mnavyojua, jana 'muungwana' naye kaamua kuonesha uhodari wake wa kujibu mapigo, baada ya kutukanwa (kwa tafsiri yake na CCM, maana matusi inategemewa na tafsiri ya mtu), yaani mtu unasema umetukanwa nawe unaamua kutukana...hii ni ishara ya uwezo mdogo... maana ujuha kwa tafisri ya mtu mwingine linaweza kuwa 'tusi' pia.
Lakini mbaya zaidi ni kuwa aliyetoa maneno yale ya ajabu ya kumtukana 'muungwana' JK, alikuwa ni mgombea ubunge, kwanini JK aamue kujishusha hadhi na kujibizana na mwanasiasa wa level ya Dickson G'hily (former CCJ assistant secretary)...au lengo lake ni kuendesha propaganda za kuwa CHADEMA ndicho kinachohusika zaidi na si yule mgombea mmoja...kma walivyoandika HABARI LEO; Mkutano wa Slaa watumika kumtukana Kikwete...
Nway tuyaache hayo, jambo moja la ajabu ambalo mpaka ni moja ya strong eviedence kuwa CCM na JK wamejiandaa kuvuruga amani ya nchi kisha watimize malengo ya propaganda zao...KWA NINI JK NA CCM WANAWEZA KU-RESPOND KATIKA ISSUES ZOTE LAKINI HAWATAKI KUZUNGUMZIA HAKI AMBAYE NDIYE MZAZI WA AMANI...KWA NINI HAWATAKI KUZUNGUMZIA GREEN GUARDS NA VITA WANAYOENDESHA?