:doh:Hivi, Kuna mtu mwenye akili timamu atampigia kura Juha jei kei mtukana hadharani, masafisha mafisadi, asiye-jua-kwa-nini-watanzania-ni-masikini, mzandiki, mdini, msimamia-umwagikaji-damu-kupitia-walinzi-wa-kijani, mkimbia-midahalo-ya-wazi, mpenda-controlled-dialogues (a.k.a midahalo at STP - Standard temperature and Pressure) kama atakayoifanya kesho kwenye vyombo vya habari, mlewa-madaraka, limbukeni-wa-cheo, mlipiza-visasi, mkuu wa undugunaizesheni Tanzania, mfagilia-wageni-kuliko-wananchi, mcheza-kiduku-mashuhuri, mvivu-wa-kusoma-takwimu, mpigwa-changa-la-macho-mzoefu, mpenda-wanawake, mdondoka-majukwaani, muandaliwa-risala-ili-asome-hata-kwenye-kampeni-vijijini ili azidi kuiharibu Tanzania?:doh: