Elections 2010 Kikwete naye awatukana CHADEMA?

Tuiweke ishu ya green guards kwenye headlines za kesho kwenye media ili watanzania wajue kwamba tunapoitaja hiyo platoon ndo inakuja tafsiri kwamba kikwete anatukanwa

Na yeye apelekwe Kituoni kwa kutukana
 
nadiriki kusema kikwete ni juha na baradhuri mkubwa huyu!
 
Jakaya KIKWETE , ni mleta mizaha, mtu legelege, mgonjwa wa kuanguka anguka, amezungwa na wanywa Kahawa na wacheza karata, huyu ndie Juha hasa.
 
Kwa hakika hakuna hata mmoja wao aliyetumia busara. Wote wamepungukiwa na hekima, lakini mbaya zaidi ni kwa huyu aliyejibu mapigo kwa kutuita sisi wote majuha! Sisi tuna kosa gani tukihudhuria mikutano ya siasa? Je ni kosa kuwasikiliza wauza sera wakati sisi ndiyo wanunuzi wa sera hizo. Mfano bidhaa yoyote ile iuzwayo dukani kila mteja ana haki ya kununua ya nchi yoyote atakayo bila kulazimishwa na mwenye duka. Vile vile sisi nasi kama wapiga kura tuna haki ya kuwasikiliza kila mnadi sera ili ituwezeshe kuamua ni yupi afaaye. Je mheshimiwa JK anapoona misafara mirefu ya magari na umati mkubwa wa wana ccm ana hakika kuwa wote ni wafuasi wake na kwamba hakuna majuha miongoni mwao? HESHIMA YA MTU NI MTU MWENYEWE.
 
JK ana matatizo gani?, bado nasema uwezo wa kufikiri wa JK ni mdogo sana yaani IQ yake
 
Kikwete asipokamatwa na kupelekwa kwenye mikono ya sheria kwa kutukana watanzani a ni "majuha" tutaandamana. Kweli kiongozi wa nchi anatukana wananchi wake majuha???? Ila juha anaongoza majuha...mstaarabu anaongoza wastaarabu...inashangaza na inasikitisha sana!!!
 
Majira imeripoti ya kuwa "JK: Wapinzani ni majuha wa matusi."

Sasa hivi hata wapigakura watakao wapigia upinzani si JK amewaunganisha humo kwenye ujuha?

Haya kama siyo matusi ni nini?
 
:doh:Hivi, Kuna mtu mwenye akili timamu atampigia kura Juha jei kei mtukana hadharani, masafisha mafisadi, asiye-jua-kwa-nini-watanzania-ni-masikini, mzandiki, mdini, msimamia-umwagikaji-damu-kupitia-walinzi-wa-kijani, mkimbia-midahalo-ya-wazi, mpenda-controlled-dialogues (a.k.a midahalo at STP - Standard temperature and Pressure) kama atakayoifanya kesho kwenye vyombo vya habari, mlewa-madaraka, limbukeni-wa-cheo, mlipiza-visasi, mkuu wa undugunaizesheni Tanzania, mfagilia-wageni-kuliko-wananchi, mcheza-kiduku-mashuhuri, mvivu-wa-kusoma-takwimu, mpigwa-changa-la-macho-mzoefu, mpenda-wanawake, mdondoka-majukwaani, muandaliwa-risala-ili-asome-hata-kwenye-kampeni-vijijini ili azidi kuiharibu Tanzania?:doh:
 
Asilimia atakazopata JK hapo 31 Oktoba ni sawasawa na asilimia ya Watanzania Majuha
 
Juha huona wengine nao kama majuha.....kwa hiyo Kikwete yuko sawa kuwaona Chadema ni genge la majuha, kwani yeye ni juha in the first place!

Unamaana JK nikiongozi wa Majuha??Now you speak!Thanks To me no comment!!
 
JK ana matatizo gani?, bado nasema uwezo wa kufikiri wa JK ni mdogo sana yaani IQ yake

Wadhani pia ntamlaimu sana JK? kwani lawama nyingi ntazipeleka kwa Campaign Manager wake Kinana kwani yeye na jopo lake ndio lapaswa kumwambia JK hapo no na hapo yes,


Wao wakakimbia kutuma barua tume kuwa hawa wametutukana huku JK nae anatoa matusi kama musemavyo kuwa nae katukana.
1: Asiye Funzwa na mama yake atafunzwa na ulimwengu
2: Ni genge la majuha na watukanaji

NEC wanala kujiridhisha kwa kauli hizo mbili au Itawachukua Muda nao kuchakachua? Au watatupilia mbali malalamiko hayo.

 
Hahahaha, Raisi kanasa kwenye mtego pasipo kujua, sijui washauri wake ni kina nani maana kwa kiasi fulani yale matamshi ya Dickson yalianza kumpa chati, mara na yeye kalikoroga tena. Ameharibu mno maana ni sawa na aliyeibiwa nguo na kichaa wakati anaoga bila kufikiria akaanza kumkimbiza mitaani ili amnyanganye nguo zake. Poor timing and response in my view.
 

Daah Mkuu,

Naona hii record ulikuwa umemwekea muda mrefu na imemletea mahali pake teh tehg khaaa kumbe watu wana kumbu kumbu, iliyo ni sikitisha sana ni ile Rais wa NChi yako alipo hojiwa huko nje ya nchi tena bila haibu kuwa hajui kwanini Tanzania ni maskini mpaka leo mbali na kuwa na rasilimali nyingi za kujitosheleza kuwa nchi tajiri. Khaaaa hilo nami sito lisahau kabisa,

Na ndio maana huwa nasema IKULU pale hakuna watu makini wa kumwelezea Rais ni nini chakusema.

A President of a country doesn't realized why his/her country suffering from embarrassing poverty, He/her is not fit at all to run the country.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…