Elections 2010 Kikwete ndani ya tandahimba

Elections 2010 Kikwete ndani ya tandahimba

hapa ndipi huwa ananiudhi huyu kiwete

Angalia usitengeneze kichwa cha habari kwenye magazeti ya Uhuru, Habari Leo na Daily Noise. "Chadema Yadharau Viwete"

Hariri fasta. Weka herufi k.
 
Anaelezea jinsi anavyopambana na malaria,hasa zoezi la ugawaji wa vyandarua.Ila watu wanaanza kuondoka.Anasema tena ukimwi ni ugonjwa wa kujitakia.

Jamani fanya mpnago wasiondoke jamani, ila kama kweli ametaja vyanadarua wana haki ya kuondoka, huwezi kusema unazuia malaria kwa vyandarua
 
Kwa hiyo leo anazungumzia mafanikio yake binafsi...kama hilo la kuwa Rais wa kwanza kuonana na Obama...kwa kampeni hizi hata urais wa DARUSO (kama bado ipo) hapati
 
Ameahidi kuijenga barabara ya mtwara-tandahimba-newala-masasi kwa kiwango cha lami.Pia atalipa madeni ya vyama vya ushirika,ili kuwapunguzia mzigo.Bei ya korosho itafikia 1700/- kwa kilo.anazungumzia uanzishwaji wa benki ya wakulima.
 
Ameahidi kuijenga barabara ya mtwara-tandahimba-newala-masasi kwa kiwango cha lami.Pia atalipa madeni ya vyama vya ushirika,ili kuwapunguzia mzigo.Bei ya korosho itafikia 1700/- kwa kilo.anazungumzia uanzishwaji wa benki ya wakulima.

Kuwapunguzia mzigo aliowabebesha....kaaaaaaaaaaaaaazzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzziiiiiii kweli kweli
 
Hata kama vyombo vya habari vinapamba sana kwamba anapata watu wengi, ukweli halisi unaonekana kwenye video kama hii hapa chini. Hivi kwenye jimbo ambalo mgombea ubunge wake alipita bila kupingwa kuna kuwa na watu wachache kiasi hiki kweli? Hebu angalieni hii video ndo mtajua kwamba sifa nyingi kwa JK si za kweli. Sikumbuki ni wapi ambako Slaa alikuwa na watu wachache kiasi hiki. Hata yeye Kikwete hapa anaonekana kukata tamaa kabisa.


Video kwa hisani ya blog ya michuzi.
 
Last edited by a moderator:
Mbona sura nilizo ziona singida ndo nimeziona Lindi na Mtwara? isije mkuu akawa anahama na mafuso ya kuonesha anaungwa mkono kumbe anazuga wakati anajua ana kura feki 7 M
 
Hata kama vyombo vya habari vinapamba sana kwamba anapata watu wengi, ukweli halisi unaonekana kwenye video kama hii hapa chini. Hivi kwenye jimbo ambalo mgombea ubunge wake alipita bila kupingwa kuna kuwa na watu wachache kiasi hiki kweli? Hebu angalieni hii video ndo mtajua kwamba sifa nyingi kwa JK si za kweli. Sikumbuki ni wapi ambako Slaa alikuwa na watu wachache kiasi hiki. Hata yeye Kikwete hapa anaonekana kukata tamaa kabisa.


Video kwa hisani ya blog ya michuzi.


Na hilo fuso ndo limesomba hao wana kijani?
 
Last edited by a moderator:
Duh, ila kwa kweli watu ni wachache sana. Mzee ana hali mbaya. Macho yangu hayaamini uchache wa watu waliopo.
 
Back
Top Bottom