DMussa
JF-Expert Member
- Sep 24, 2007
- 1,310
- 296
Anaiga mbinu ya Obama! US na TZ katika ICTs advancement ni tofauti kabisa! Hivi watanzania walio nje ya nchi wanapiga kura?
Kwa taarifa yako hata hapa JF asilimia kubwa wako nje ya nchi je na wao hawaruhusiwi kujua yanayoendelea Tanzania hata kama hawatapiga kura?