Kikwete on Facebook na Twitter: Tumia Fursa Hizi Adimu Kumkalia Kooni

Anaiga mbinu ya Obama! US na TZ katika ICTs advancement ni tofauti kabisa! Hivi watanzania walio nje ya nchi wanapiga kura?

Kwa taarifa yako hata hapa JF asilimia kubwa wako nje ya nchi je na wao hawaruhusiwi kujua yanayoendelea Tanzania hata kama hawatapiga kura?
 

asante,ngoja nimutafute.nitawapa fback
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…