saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Kikwete ndiyo binadamu anayejua uchumi na siasa kwa pamoja. Agenda yake ya awamu ya pili alifanikiwa sana. Aliunganisha makao makuu ya mikoa kwa barabara za lami, nchi za jirani kwa lami, mfano mpaka wa Sirari, Tarakea, Holili, Hororo. Mtu mwingine anayejua uongozi Anna Semamba Makinda.
Nimependa uchambuzi wake wa sensa ya 2022 kuwa population ya Dar imeshuka kutoka 10% mpaka 8%. Sababu ujenzi wa miundo mbinu mikoani. Km ningeweza kumshauri Rais wangu mama unganisha mikoa kwa lami 2032 population ya Dar itakuwa chini ya 5%.
Umeme umeenda sehemu nyingi kijiini. Unganisha kwa mfano Arusha-manyara-Dodoma kupitia Simanjiro- Kiteto-Kongwa. Unganisha Tanga-Manyara-Dodoma-Singida kupitia Handeni-Kiteto-Kondoa-Hanang-Singida.
Unganisha mikoa ya Arusha-Manyara-Singida-Simiyu kupitia Karatu-Mbulu-Sibiti-Mwanhuzi-Lalago-Maswa. Barabara ya kuunganisha mikoa ya Morogoro-Njombe-Mbeya. Rais wetu tunakuombea tukijua una miradi mikubwa ya kukamilisha. Haya yawe agenda yako ya 2025. Heri ya mwaka mpya 2023!
Nimependa uchambuzi wake wa sensa ya 2022 kuwa population ya Dar imeshuka kutoka 10% mpaka 8%. Sababu ujenzi wa miundo mbinu mikoani. Km ningeweza kumshauri Rais wangu mama unganisha mikoa kwa lami 2032 population ya Dar itakuwa chini ya 5%.
Umeme umeenda sehemu nyingi kijiini. Unganisha kwa mfano Arusha-manyara-Dodoma kupitia Simanjiro- Kiteto-Kongwa. Unganisha Tanga-Manyara-Dodoma-Singida kupitia Handeni-Kiteto-Kondoa-Hanang-Singida.
Unganisha mikoa ya Arusha-Manyara-Singida-Simiyu kupitia Karatu-Mbulu-Sibiti-Mwanhuzi-Lalago-Maswa. Barabara ya kuunganisha mikoa ya Morogoro-Njombe-Mbeya. Rais wetu tunakuombea tukijua una miradi mikubwa ya kukamilisha. Haya yawe agenda yako ya 2025. Heri ya mwaka mpya 2023!