jamani ngoja niwape hiki kisa: namfananisha Jakaya Kikwete na yule Raisi wa Liberia aliyeuawa Bw. William Tolbard. Huyu bwana alikuwa na mawaziri na wakuu wa serikali kama 23 ambao ni ndugu zake. Alikuwemo mwanaye wa kike ambaye alikuwa waziri mdogo wa elimu. Mdogo wake waziri wa fedha. Huyu mdogo wake alikuwa ni muingizaji mkuu wa mchele nchi i liberia. Haikuishia hapo, alinunua ndege ya raisi wakati watu wanakufa na njaa kama ilivyokuwa kwa fisadi Mramba aliyewatangazia watanzania wale majani aweze kununua ndege ye raisi Mkapa. Vilevile walikuwemo ndugu wengine ambao walikuwa mabalozi wa liberia nchi za nje. Wananchi walikosa imani, majeshi yakakosa imani naye. zaidi ya moja ya tatu ya uchumi wa liberia wakati huo (GDP (market price-of USD 220 million) ulikuwa unamilikwa na watu wake.. HII ni kama hapa tanzania na akina lowasa, masha, rostam azizi japo ni marafiki tu. Sasa angalia kivumbi kinakuja. January Makamba, Hussein mwinyi, Ridhiwani Kikwete. WA SOKOINE NA NYERERE SINA NAO UGOMVI MAANA BABA ZAO HAWAKULIIBIA TAIFA HILI. Wapo wengine kama akina lucy mayenga ambaye alikuwa no demu wa mzee wakati akiwa waziri. Vicky Kamata (pweza), Abdallah Ali Hassan mwinyi.. Thanks for Pinda kwa kuondoa jina la mwanao viti maalum. Kuna wengine kama akina mhonga, yule dada wa uhuru ambaye form four alipata division four ya 32 lakini anajipakazia kwamba ana elimu ya chuo- ESTER BULAYA. hUYU KAACHANA NA MUMEWE KWA SABABU YA VIGIGO WA CCM LUMUMBA.. WAMEMKAZA KAMA JAMVI LA WAGENI MUMEWE KAAMUA KUACHIA NGAZI.. HIYO NDO NATURE YA gold diggers. makongoro mahanga na kimke chake Grace Michael wa Majira nao njama zao ni kurithishana madaraka.. Mke wa Mahanga anajua kama mumewe anasambaza vile vitu vyake vya mwilini. na huyo megji eti mama mkwe.. hii ni tolbard style.... hata mwanae yule mdogo yumo ndani ya chipukizi.. japokuwa ni haki yao ila watanzania na sisi tumezidi mno na upambe. akigombea tu mtoto wa kigogo basi kila mtu anataka kuwa mpambe wake.. tujifunze kwa chiruba alitokea kwenye ukata miwa morogoro hadi raisi. Da Silva wa brazil naye alikuwa shoe shiner. more are coming soon!!!! TUKIMFANYIA JK YALE YA TOLBARD NI LAWAMA KWELI JAMANIIII? HAKUNA HATA MKURYA YOYOTE JESHINI AJITOLEE KUFA KIUME.............