Elections 2010 KIKWETE: Rais asiyeona aibu kutembea na uchafu

Elections 2010 KIKWETE: Rais asiyeona aibu kutembea na uchafu

Jamani Wazalendo wa nchi tunachotakiwa kufahamu sasa ivi ni kwamba nchi yetu ishavamiwa na viwavi wala maisha ya wanyonge, cha msingi ni kumnenepesha mmojawetu ili aweze kupata nguvu ya kulingilia pori kwa kujitoa mhanga walau awapunguze hao viwavi la sivyo tutakufa na njaa!! Kwa lugha ya kwetu naamanisha ivi kilichobakia si suala la kuwashabikia na kuwaelezea hawa watu jamii ya Kikwete kwa kuwafananisha na wengine, yaani hawa hawafananii hata kidogo, kiukweli ni kwamba wao wamewazidi hata hoao akina Tolbard, tanzania yetu haifananii na Liberia ata kidogo wala nchi yoote apa Afrika, Tukubali kwamba kikwete na wenzake si wajanja ata kidogo mi ata sjui huo udokta wanaojiita wameutoa wapi, na hilo nalo km linafaa kujadiliwa bungeni ingefaa likajadiliwa ili tujue na tufahamu hao viongozi chimbuko la elimu zao ni wapi, maana ukilinganisha uzito wa elimu wanazojiita nazo haziendani na uhalisia waliomo na wanaotutengenezea sisi. Watanzania tuweni macho, yaaani kama ingewezekana tutafute njia mbadala tena ya haraka sana ya kuajiri wafanyakazi wapya serikalini kuanzia Rais mpaka ngazi ya kitongoji kwa upya!!! Maana wale waliomo hawafai wote! Hawana qualification ata kidogo za kutufanyia kazi maofsini kwetu. SHIME WATANZANIA WOOOOOOOTE!!!!!!!!!!!!!
 
Wahenga walisema,
Mbio za sakafuni huishia ukutani.
Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha.
Jambo limebaki moja tu,kwa huu muda mfupi uliobaki kama hawatasoma alama za nyakati,tupo tuliotayari kuitwa mashujaa wa nchi hii.
 
Natamani sana kwenye katiba inayoenda kuundwa na wana nchi tupewe mamlaka ya kuajiri na kuwafanyia interview viongozi wanaotaka kutuongoza na kutufanyia kazi maofsin mwetu!!! Tuwe na mamlaka ya kuwatoa wazembe na wasiofaa kutufanyia kazi!! Emu piga picha hii kama raia tungekuwa na uwezo sasa ivi wa kuandika tangazo la kutafuta mtu mwenye sifa wa kujaza nafasi ya RAIS, kwa mfano ikawa imeandikwa ivi, OFISI ZA WANANCHI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA TUNAPENDA KUWATANGAZIA NAFASI YA KAZI MOJA YA RAIS! mwombaji awe na sifa zifuatazo (zikatajwa kulingana na jinsi wana nchi wanavotaka ) piga picha kwa kikwete na wapambe wake sa ivi wangekuwa wapi!! wangepata kweli! Ila ata ivo kwani tunashindwa kuwatimua maofsini? Washkaji mimi naenda kulianzisha bifu kwa kila ofisi ntakayoingia ili mradi ntakuwa staki huduma ofsini apo!! nataka niwapige interview ya kmya kimya afu nione km kweli wanafaa!!
 
Sasa Kikwete angefanyaje ukizingatia Zakia ni mkwewe??



Badala ya ng'ombe Zakia kapewa ubunge kama mahari ya Kikwete kumuoa bint wa Zakia....hadi 2015 tutakoma.
 
Back
Top Bottom