Susuviri
JF-Expert Member
- Oct 6, 2007
- 3,713
- 889
Lakini angekuwa JKN msingeweza hata kuandika hivi tunavyoandika! Kulikwa hamna uhuru wa vyombo vya habari na hamna uhuru wa mawazo. Shukuruni JK ameruhusu hili.
Duh, Mr Spin doctor! Kweli unalipwa kwa haki maana unajitahidi sana kutafuta positive angle lakini naomba kumtaarifu mh Msanii aka Vasco Da Gama na timu yake kwamba hotuba ya leo imemvua nguo uchi wa mnyama kwa vile ameonyesha madudu yote aliyokuwa anayatenda miaka yote hii. Watanzania tumefunguka macho. Hawezi kutudanganya kijinga hivyo. Asisubiri mpaka atimuliwe, aondoke kwa hiari.