Kikwete: Tanzania ipo katika mikono salama

Bila katiba mpya lolote linaweza kutokea
 
Alisema ana uwezo wa kuongoza malaika....ngoja tutapata mrejesho
 

πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½πŸ‘πŸ½
 
Jakaya ni msanii mzuri sana ila tunamshukuru kwa kutengeneza tatizo kisha akalitatua
 
Maccm usiyaamini. Yanaweza lete mwingine aina ya JIWE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…