Wildlifer
JF-Expert Member
- May 12, 2021
- 1,884
- 5,235
Salam!
Wote tunajua mchakato wa kuandika Katiba mpya Tanzania wakati wa Kikwete na hadi kukwama kwake.
Wote tunajua msimamo wa Magufuli wa kutokutaka kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya.
Sasa Rais Hassan ameanzisha mchakato wa Katiba Mpya.
Mimi ni Realist. Na napenda tuwe realist katika kuitazama katiba mpya na mchakato wake.
Wanachokitaka Upinzani ni Mfumo huru wa kidemokrasia na kisiasa ambao utawaondoa CCM madarakani. CCM (hata wangekuwa Chadema kwenye nafasi hii), wasingekubali. Ndio ambacho CCM haikikubali kwa Kikwete. Na mchakato ukafeli.
Wanadamu tuna hulka mbili za kudeal na mambo. Za kona kona na moja kwa moja.
CCM hawawezi kukubali kubadili katiba hii kwani ndio inawaweka madarakani. Magufuli alikuwa mkweli tu, mchakato ni kupoteza pesa bure za Watz na hatutafikia mahala pa maana.
Mwisho wa Siku, mtazamo wa Magufuli ndio utakuwa sahihi kwenye mchakato huu.. REALISM.
Wote tunajua mchakato wa kuandika Katiba mpya Tanzania wakati wa Kikwete na hadi kukwama kwake.
Wote tunajua msimamo wa Magufuli wa kutokutaka kuanzisha mchakato wa Katiba Mpya.
Sasa Rais Hassan ameanzisha mchakato wa Katiba Mpya.
Mimi ni Realist. Na napenda tuwe realist katika kuitazama katiba mpya na mchakato wake.
Wanachokitaka Upinzani ni Mfumo huru wa kidemokrasia na kisiasa ambao utawaondoa CCM madarakani. CCM (hata wangekuwa Chadema kwenye nafasi hii), wasingekubali. Ndio ambacho CCM haikikubali kwa Kikwete. Na mchakato ukafeli.
Wanadamu tuna hulka mbili za kudeal na mambo. Za kona kona na moja kwa moja.
CCM hawawezi kukubali kubadili katiba hii kwani ndio inawaweka madarakani. Magufuli alikuwa mkweli tu, mchakato ni kupoteza pesa bure za Watz na hatutafikia mahala pa maana.
Mwisho wa Siku, mtazamo wa Magufuli ndio utakuwa sahihi kwenye mchakato huu.. REALISM.