Kikwete vs Viongozi wa Dini

Kikwete vs Viongozi wa Dini

Labda JK hajui kitu . Kwamba tangia tamko limetoka Kanisa Katoliki Tanzania tunakumbushwa kila siku kupiga kura ya HAPANA pamoja na Pengo kuja na hoja zake za u CCM lakini moto unawaka tu . Kitaeleweka in the end.

Hawajui Hilo,pengo hayupo pamoja na waumini wake,pamoja na maaskofu wenzake
 
Unaelewa Kinachojadiliwa?????

Unatambuwa kweli wewe?

Ukisikiwa Wenzentu wakenya na waganda wanatucheka watanzania nikwasababu ya watu kama wewe.

Na wewe nawe! Wakenya na Waganda wanaingiaje hapa? Jamani kama ni wasikilizaji, watazamaji na wafuatiliaji wazuri Rais Kikwete jana alizungumza na Kamati ya Amani ya Viongozi wa Dini ya mkoa wa Dar es Salaam ambapo alisema amesikitishwa na tamko la Jukwaa la Wakristo Tanzania, linalowahamasisha waumini wao kupigia Katiba Inayopendekezwa kura ya Hapana.


Akifafanua kuhusu suala la Mahakama ya Kadhi nchini, Rais Kikwete alisema Serikali ina msimamo wa mambo mawili katika mahakama hiyo.



Kwanza, alisema Serikali haina mpango wa kuianzisha na kuiweka katika Katiba na pili, haihusiki kuiendesha na badala yake, Waislamu wenyewe ndio watakaoiendesha kama wataihitaji.


Kwa msingi huo wa sehemu ya haotuba ya Mhe. Rais jana ndiyo maana katika Katiba Inaypoendekezwa kuhusu masuala ya dini inasema "Uhuru wa imani ya dini Ibara ya 41. (2) Kazi ya kutangaza dini, kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari kwa mtu binafsi ilimradi hakiuki sheria za nchi. Na (3) Shughuli ya uendeshaji wa jumuiya za dini itakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya Serikali".


Asante Mhe. Rais kwa ufafanuzi huo maana humu JF watu wachache wanawahadaa wenzao kwa kuwa wanaweza kusema na kushawishi, WASOMAJI WA JF WATU WANAOTOA MAELEZO YA KUWAPOTOSHA WENGINE HAWANA NIA NJEMA NA NCHI YAO. TUJENGE NCHI YETU KWA MANUFAA YA SASA NA VIZAZI VIJAVYO USIJIFURAHISHE KWA KUANDIKA TU TAMBUA UNAWEZA KUANGAMIZA NA KUWAPOTOSHA AMBAO WANAAMINI BILA KUFANYA UTAFITI.
 
JK akizungumza kwny mkutano wa kamati ya amani ya DSM alielezea kusikitiwa, kuhuzunishwa na kufadhahishwa na tamko la TCF la kuipinga katiba pendekezwa na m/kadhi. Kwa kwel wanaCCM wanatatizo kubwa sana la 'double standard' na kuwadhani wananchi hawaelewi kiasi cha kuwa zuzu.

Je ni nani mwanzilishi wa kutumia taasisi dini kukataa katiba pendekezwa?

Waanzilishi ni waliokua wakilishi wa jumuiya za Kiislam na baadhi ya waumini wao kwny BMK walipoazimia kuikataa "kijarida cha Chenge" kama serikali haitaridhia m/Kadhi. Waliweka msimamo wao wazi watapiga kura ya hapana ikiwe m/Kadhi haitakuwepo. Cha kusikitisha si WM Pinda wala Serikali yake wala CCM waliong'aka. Je iweje nongwa ikiwa TCF wakihamasisha kura ya hapana?

Nn CCM wanachokosea?
Serikali ya CCM inataka kujinufaisha kisiasa zaidi kwa kutumia masuala ya kidini huku JK akijua na kukiri fika hali ya amani iko shakani na taifa liko majaribuni. Wanajua fika na tena pasi na shaka dawa ilikwishapatikana tena kitambo nayo ni rasimu ya Warioba(Rasimu ya tume ya mabadiliko ya Katiba).

Nn mapendekezo yangu?
Taifa tuachane na mambo ya dini kama ilivyoshauri kamati ya Warioba. Kama taifa tujikite kwenye ujenzi wa taifa letu maskini na linalokabiliwa na changamoto nyingi pamoja na maadui umaskini, ufisadi, maradhi,ujinga na utumiaji mbaya wa madaraka.

Hitimisho. Amani iliyopo itaendelea kuwepo isipokua tu kwa uzembe na maksudi ya serikali ya CCM kulinda maslahi na washirika wao bila kujali mustakabali na maslahi mapana zaidi ya taifa. Tusisahau pasipokua na haki hakuna amani

Wasalaam!

Kaka hizi unajua ni rubbish hata ulichoandika nadhani hukielewi rudi kasome mapendekezo ya warioba kwenye kipengele cha dini halafu rudi usome katiba inayopendekezwa kwenye ibara ya dini uone kama hiyo mahakama ya kadhi imeandikwa humo, zaid ya kutambua tu uwepo wa dini na kumpa mtu kuabudi dini anayotaka.....hata katika hotuba ya JK ya jana kasema wazi kabisa mahakama ya kadhi haitaanzishwa wala serikali kulishadadia suala hilo....kaka mbona unakuwa mchonganishi......hizi dini tumekaa nazo kwa mda sana tena kwa upendo mbona unataka kuchonganisha na kuleta mtafaruku nchini kwa suala ambalo halijaandikwa popote...au hujasoma hizi nyaraka mbili...watanzania tuache kushabikia vitu visivyo vya msingi halafu kingine kaka hebu nenda ukasome mathayo 5:25 halafu urudi hapa....utakachogundua uje uwaeleze na wenzio....tuache ushabiki wa ajabu
 
Kama unadhani Adolay hana point, unaweza kutuambia wewe unaelewaje juu ya huo muswada wa kuirasimisha mahakama ya kadhi kwenye katiba na sheria za nchi?


adolay huo ujinga ni wako mwenyewe za kuambiwa changanya na zako kwani wewe hujui kusomaaaa, katba yetu ya mwaka 1977 imesema no to mahakama ya kadhi, na hii katiba pendekezwa imesema no again ibara ya 41 wewe huoni au unafanya makusudi
 
Kama unadhani Adolay hana point, unaweza kutuambia wewe unaelewaje juu ya huo muswada wa kuirasimisha mahakama ya kadhi kwenye katiba na sheria za nchi?

Hivi watu mnakuwa wagumu kuelewa jaman....au hamsikii.? Aliyesema mahakama ya kadhi inawekwa kikatiba nani? Nyie ndo chanzo cha vurugu....mbon tabby unaongea vitu havipo asee....serikali hii its a nonreligious haifungamani na dini yoyote so itakuwa kichekesho kuitambua mahakama ya kadhi kikatiba guys lazma tuwe na uelewa tusilazimishe akili zetu kuwa mgando.......tafuta speech ya mkuu wa nchi usikilize alichosema kuhusu mahakama ya kadhi an everything sio tunaongea vitu visivyo na ushahidi
 
Nilitegemea utajibu swali langu l amuswada unaopelekwa bungeni ni wa nini?

Aliposema "mtaanzisha na kuhudmia hizo mahakama huko misikitini. SISI TUMEWAPELEKEA MUSWADA BUNGENI ILI BUNGE LIFANYE UTARATIBU WA MAHAKAMA HII KUTAMBULIKANA KIKATIBA NA KISHERIA..."" ulimwelewaje?

Wabunge leo walipotafarukiana kwa ajli ya huu muswada wa kuisilmisha nchi, nao hawaelewi?

NILITEGEMEA UTASEMA BAADA YAKIKWETE KUSEMA HAYO, AMEAMURU MUSWADA UONDOLEWE BUNGENI.

NI VIZURI KUJITAHIDI KUELEWA MAMBO BADALA YA KUKUBALI KUWA FOOLED KIRAHISI KWA FACIAL SMILES HUKU MIKONO IKIFANYA MAANGAMIZI!. HII INAITWA KIDINI UDANGANYIFU MZURI. KUCHEKA USONI KWA KUHADAA HUKU UKITELEZA TOFAUTI.

Forms of Islamic Deceit [3]


      • [*=left]Taqiyya (Shia) or Muda'rat (Sunni): tactical deceit for the purposes of spreading Islam. [4] [5]
        [*=left]Kitman: deceit by omission.[6]

      [*=left]Tawriya: deceit by ambiguity.[7]
      [*=left]Taysir: deceit through facilitation (not having to observe all the tenets of Sharia).[8]
      [*=left]Darura: deceit through necessity (to engage in something "Haram" or forbidden).[9]

    [*=left]Muruna: the temporary suspension of Sharia in order that Muslim immigrants appear "moderate." So through the principle of Hijra (Muslim Immigration), the early Muslims are a "red herring" or a Trojan Horse. The Kafir or Kuffar community gets the false sense that the early immigrants are not a threat, at least until the Muslim community has gained strength.[10]


Hivi watu mnakuwa wagumu kuelewa jaman....au hamsikii.? Aliyesema mahakama ya kadhi inawekwa kikatiba nani? Nyie ndo chanzo cha vurugu....mbon tabby unaongea vitu havipo asee....serikali hii its a nonreligious haifungamani na dini yoyote so itakuwa kichekesho kuitambua mahakama ya kadhi kikatiba guys lazma tuwe na uelewa tusilazimishe akili zetu kuwa mgando.......tafuta speech ya mkuu wa nchi usikilize alichosema kuhusu mahakama ya kadhi an everything sio tunaongea vitu visivyo na ushahidi
 
Nilitegemea utajibu swali langu l amuswada unaopelekwa bungeni ni wa nini?

Aliposema "mtaanzisha na kuhudmia hizo mahakama huko misikitini. SISI TUMEWAPELEKEA MUSWADA BUNGENI ILI BUNGE LIFANYE UTARATIBU WA MAHAKAMA HII KUTAMBULIKANA KIKATIBA NA KISHERIA..."" ulimwelewaje?

Wabunge leo walipotafarukiana kwa ajli ya huu muswada wa kuisilmisha nchi, nao hawaelewi?

NILITEGEMEA UTASEMA BAADA YAKIKWETE KUSEMA HAYO, AMEAMURU MUSWADA UONDOLEWE BUNGENI.

NI VIZURI KUJITAHIDI KUELEWA MAMBO BADALA YA KUKUBALI KUWA FOOLED KIRAHISI KWA FACIAL SMILES HUKU MIKONO IKIFANYA MAANGAMIZI!. HII INAITWA KIDINI UDANGANYIFU MZURI. KUCHEKA USONI KWA KUHADAA HUKU UKITELEZA TOFAUTI.

Forms of Islamic Deceit [3]


      • [*=left]Taqiyya (Shia) or Muda'rat (Sunni): tactical deceit for the purposes of spreading Islam. [4] [5]
        [*=left]Kitman: deceit by omission.[6]

      [*=left]Tawriya: deceit by ambiguity.[7]
      [*=left]Taysir: deceit through facilitation (not having to observe all the tenets of Sharia).[8]
      [*=left]Darura: deceit through necessity (to engage in something "Haram" or forbidden).[9]

    [*=left]Muruna: the temporary suspension of Sharia in order that Muslim immigrants appear "moderate." So through the principle of Hijra (Muslim Immigration), the early Muslims are a "red herring" or a Trojan Horse. The Kafir or Kuffar community gets the false sense that the early immigrants are not a threat, at least until the Muslim community has gained strength.[10]
Ndugu yangu mahakama ya kadhi haijawekwa katika hii katiba inayopendekezwa, usiwe chanzo cha vurugu humu ndani ukasababisha amani kutoweka. Kuwa na busara.
 
Back
Top Bottom