OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
na ww ni mweupe kabisa upstair
afadhali mm mweupe ni dalili ya kuwa bright wewe ni mweusi upstair your brain is dark!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na ww ni mweupe kabisa upstair
Nimesikitishwa na kauli hii niliposoma habari hii kwenye website nyasatimes
SOURCE:
Tanzania President rejects war, JB insists whole lake belongs to Malawi | Malawi news, Malawi - NyasaTimes breaking online news source from Malawi
Inasikitisha sana tunapokua na Raisi Mwongo na asiyejiamini.Sote tulisikia kauli za Membe na Lowasa, tukasikia pia kauli za upinzani toka kwa Prof Safari,Baregu na Lipumba.Je! Ni wepi hapo walokua wakihimiza vita? Au ndio yale anapewa taarifa potofu? Mie binafsi naona aibu kuwa na Rais wa namna hii
Raisi ana mambo mengi sana ndo maana mambo mengine ame delegate lakini aliowapa wanatumia madaraka vibayaKwani Lowassa, Membe na Sitta siyo wapinzani wa JK?
Source: BBC
...anasema viongozi wa upinzani ndio wanaoongelea maswala ya vita dhidi ya wanyasa concern mgogoro.
AMESEMA KATU TANZANIA HAITAPIGANA NA MALAWI.
My take:
Lowassa, Membe, Sitta ni Wapinzani?