Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,265
Tumeshatune kupewa hatuwezi kuwa creative. Nao wameshaona sisi ni wa kupewa, hata masharti wanalegeza kila siku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshatune kupewa hatuwezi kuwa creative. Nao wameshaona sisi ni wa kupewa, hata masharti wanalegeza kila siku.
...........hana lolote ..mawa ooh salva anatuambia ni mkutano wa viongozi wanaoheshimika afrika ....wakati pale president ni yeye mwenyewe tu..kenya wamemtuma waziri mkuu odinga,south afrika wamemtuma Trevor emmanuel ,waziri wa fedha....labda ambaye angalau ana level ya ukuu wa nchi kama yeye ni MEles zenawi.......hakuwa na umuhimu sana wa kuwa pale hata Dr shein AU Pinda wangetosha......unless shida yake kuu ilikuwa kupita london kumuona VICKY KAMATA ...yule mIlupo wake....
ndio MAANA AMEENDA SINGLE!!