Kikwete, zungumza na Kagame!!

Kikwete, zungumza na Kagame!!

Lukolo

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2009
Posts
5,143
Reaction score
3,199
Inashangaza sana, na inasikitisha sana kwamba Rais wetu Mheshimiwa Jakaya Kikwete, anayeamini katika mazungumzo zaidi kuliko nguvu, ameingia kwenye mkumbo uleule wa kufanya yaleyale ambayo amemshauri mwenzake Kagame aachane nayo.

Hivi kulikuwa na mantiki gani kwa Kikwete kuutangazia umma tofauti zake na Kagame ilihali anaamini katika kumaliza migogoro kwa mazungumzo? Hivi Kikwete haijui namba ya simu ya Kagame? Kwanini hajampigia simu Kagame ili wayamalize, kabla ya kutuhutubia sisi? Au kama anaona hataweza kuongea na Kagame moja kwa moja, ina maana haijui namba ya Mseveni au ya Uhuru? Ameshindwa nini kuwaomba hawa majirani wamuitie Kagame ili wapatanishwe?

Japo amejibu vema katika hotuba yake lakini maneno yake mbele ya mtusi yule yanaweza kuongeza chuki badala ya kumaliza hizo tofauti. Baada ya kutoa hotuba ile, Kikwete anadhani atakuwa amesaidiaje kumaliza tofauti zake na Kagame? Je wanaweza sasa kukaa chini na kuyamaliza kwa vile tu amesema anasikitishwa na kauli za Kagame?

Dalili zinaonyesha kwamba Kikwete ameanza kutengwa na marais wengine wa Africa mashariki. Ni dhahiri Rais wetu ni tatizo, inawezekana anaiponza nchi. Haiwezekani kwamba ushauri tu dhidi ya Kagame ndiyo uliosababisha haya yote. Lazima kuna mengine nyuma ya pazia, ambayo Kikwete hataki kuyaweka wazi.

Kwa hakika kama Kikwete anaamini katika mazungumzo tunamwomba basi atafute muafaka na Kagame kwa njia ya mazungumzo badala ya kuendelea kurushiana maneno kupitia kwenye mikutano na hotuba. Maana naamini baada ya haya, Kagame naye atajibu! What will be next. Watanzania hatutaki vita sasa hivi. Muyamalize kama mlivyoyaanzisha.
 
Inashangaza sana, na inasikitisha sana kwamba Rais wetu Mheshimiwa Jakaya Kikwete, anayeamini katika mazungumzo zaidi kuliko nguvu, ameingia kwenye mkumbo uleule wa kufanya yaleyale ambayo amemshauri mwenzake Kagame aachane nayo.

Hivi kulikuwa na mantiki gani kwa Kikwete kuutangazia umma tofauti zake na Kagame ilihali anaamini katika kumaliza migogoro kwa mazungumzo? Hivi Kikwete haijui namba ya simu ya Kagame? Kwanini hajampigia simu Kagame ili wayamalize, kabla ya kutuhutubia sisi? Au kama anaona hataweza kuongea na Kagame moja kwa moja, ina maana haijui namba ya Mseveni au ya Uhuru? Ameshindwa nini kuwaomba hawa majirani wamuitie Kagame ili wapatanishwe?

Japo amejibu vema katika hotuba yake lakini maneno yake mbele ya mtusi yule yanaweza kuongeza chuki badala ya kumaliza hizo tofauti. Baada ya kutoa hotuba ile, Kikwete anadhani atakuwa amesaidiaje kumaliza tofauti zake na Kagame? Je wanaweza sasa kukaa chini na kuyamaliza kwa vile tu amesema anasikitishwa na kauli za Kagame?

Dalili zinaonyesha kwamba Kikwete ameanza kutengwa na marais wengine wa Africa mashariki. Ni dhahiri Rais wetu ni tatizo, inawezekana anaiponza nchi. Haiwezekani kwamba ushauri tu dhidi ya Kagame ndiyo uliosababisha haya yote. Lazima kuna mengine nyuma ya pazia, ambayo Kikwete hataki kuyaweka wazi.

Kwa hakika kama Kikwete anaamini katika mazungumzo tunamwomba basi atafute muafaka na Kagame kwa njia ya mazungumzo badala ya kuendelea kurushiana maneno kupitia kwenye mikutano na hotuba. Maana naamini baada ya haya, Kagame naye atajibu! What will be next. Watanzania hatutaki vita sasa hivi. Muyamalize kama mlivyoyaanzisha.

Raisi wetu sio tatizo ila hao wengine kwa vile walitaka kumtumia kuwasaliti watanzania kwa kuwaachia rasilimali zao. Mimi siku zote nitamheshimu sana J. Kikwete kwa uzalendo wake.
 
Huyo Kagame ni mnafik, kwani Kikwete aliposema aongee na hao jamaa Kagame si alikuwepo hapo hapo na hakujibu chochote, kuondoka hapo ndio anajidai kusema alipofika kwao. Kama mwanamme kweli si angeongea mbele ya wanaume wenzake.
 
Huyo Kagame ni mnafik, kwani Kikwete aliposema aongee na hao jamaa Kagame si alikuwepo hapo hapo na hakujibu chochote, kuondoka hapo ndio anajidai kusema alipofika kwao. Kama mwanamme kweli si angeongea mbele ya wanaume wenzake.

Sawa kabisa ndugu FaizaFoxy - Kagame ni mnafiki na fedhuli. Sasa kwa vile Rais wetu mpendwa Dr. JK ameishatuaminisha kuwa ni mtu anayependa sana watu waliokwisha kuwa maadui wakae meza moja na kupatana, unaonaje ukimshauri akae meza moja na kumalizana na Fedhuli Kagame (kama alivyoshauri fedhuli huyo huyo akae meza moja na hao maadui wake) badala ya kutoa hotuba za kipropoganda.
 
Lukolo

Mh. Rais JK sio tatizo , tatizo ni Pr. Kagame. Tusitafute tatizo usiku na mchana. Sielewi kwanini wamkasirikia rais, mtu katoa ushauri ili amani ipatikane, na usimkasirikie Kagame.
Mh rais na Bernard Membe wameshasema HATUNA UGOMVI NA RWANDA.
Sasa hiyo kauli haitoshi ?

Rais wetu anataka support , support ya watanzania , baada Clinton na Blair kufunga safari ili kumwona. Usifikiri wamekuja kusaidia Tz or for conference whatever you want, those guys are special envoys of Kagame, hope that my rais was simple , frank, quite, open, determined when he met those envoys .
Leo, nyumbami kwake( Tz) kuna watoto wa taifa ( Dr. Slaa ) "wanamkejeli, wanamkosoa ", unafikiri si machungu kwake ?

Kaza roho. 🙂
 
Last edited by a moderator:
Sawa kabisa ndugu FaizaFoxy - Kagame ni mnafiki na fedhuli. Sasa kwa vile Rais wetu mpendwa Dr. JK ameishatuaminisha kuwa ni mtu anayependa sana watu waliokwisha kuwa maadui wakae meza moja na kupatana, unaonaje ukimshauri akae meza moja na kumalizana na Fedhuli Kagame (kama alivyoshauri fedhuli huyo huyo akae meza moja na hao maadui wake) badala ya kutoa hotuba za kipropoganda.

Kagame si mtu wa kukaa naye meza moja na kuzungumza. Ni mtu ambaye anafaa kushughulikiwa kama Idd Amin. Mara ngapi Kagame amejaribu kumkwepa JK tena katika vikao ambavyo vinawahusu wote. Msimtetee kagame kwani hata msemeje sisi watanZania hatuhitaji suluhu na kagame ila tunataka kuishi vizuri na wanyarwanda. Kagame ana maadui kibao na dunia inajua
 
Hivi raia wa kawaida utajuaje kama JK hajampigia simu PK?
Ni vigumu mkuu kujua kama wote wahusika hawajaliongelea. Ila jambo la wazi ni kuwa Kagame amejaribu kumkwepa JK hata kwenye mikutano ya jumuiya ya afrika mashariki. Hivyo ni wazi kuwa hata kama JK alipiga simu asingeweza kupokea. Kagame ni Jeuri na fedhuli mkubwa. Dawa ya mtu kama huyu ni kudeal naye kama inavyofanyika sasa. Kuutangazia ulimwengu juu ya ufedhuli wake na kukata mizizi yake na mirija yake
 
Vijana wa Bavicha tangu Slaa amuunge mkono Kagame mmeamua na nyinyi Kujiunga naye!

Siasa za namna hii sio healthy kwa ustawi wa Taifa...
Mkuu, kuna wakati nilishawahi kusema kuwa hawa bavicha si watu wa kawaida bali ni misukule ya dr slaa na mbowe. Watu gani wanashindwa kuwa na mawazo huru na msimamo thabiti?
 
Vijana wa Bavicha tangu Slaa amuunge mkono Kagame mmeamua na nyinyi Kujiunga naye!

Siasa za namna hii sio healthy kwa ustawi wa Taifa...

Unaujua ustawi wa jamii wewe mbulula. Ungekuwa unaujua usingetumia muda wako mwingi hapa kuvuruga mijadala ya maana chungu nzima ili kuwatetea maharamia wanaokuweka mjini kwa kukulipa buku 7. Badilika na kuuthamini Utanzania wako badala ya kuthamini maharamia.
 
Mkuu, kuna wakati nilishawahi kusema kuwa hawa bavicha si watu wa kawaida bali ni misukule ya dr slaa na mbowe. Watu gani wanashindwa kuwa na mawazo huru na msimamo thabiti?

Acha uzushi wewe mbulula mwingine. Kuishi mjini kazi bila ya kuwa na kipato cha halali cha kudumu matokeo yake ndio mnatumika kama ndom kuwasaliti Watanzania wenzenu. Yeyote anayetetea mafisadi naye ni fisadi. Badilika na kataa kutumiwa kama ndom.
 
akiongea na kagame tuu, DR Congo haitakombolewa. kuongea na kagame ni vanity of vanities(ubatili ubatili mtupu)
Sure mkuu. JK akiamua kupngea na kagame wakati huu atatoa masharti yafuatayo
  1. JK akubali kutoa majeshi yake ndani ya ardhi ya kongo
  2. majeshi ya Rwanda yaruhusiwe kuingia drc na kuwasaka Banyamulenge
  3. MONUSCO waishie tu kwenye jukumu lao la kulinda raia na si kupambana na waasi
  4. serikali ya DRC ikubali kukaa meza moja na waasi wa M23 na kuzungumza ili waondoe tofauti zao
kwa muktaza huo, ni wasi kuwa jambo hilo litaleta ugumu katika kutatua mgogoro wa DRC
 
Acha uzushi wewe mbulula mwingine. Kuishi mjini kazi bila ya kuwa na kipato cha halali cha kudumu matokeo yake ndio mnatumika kama ndom kuwasaliti Watanzania wenzenu. Yeyote anayetetea mafisadi naye ni fisadi. Badilika na kataa kutumiwa kama ndom.
Kwa vile wewe unamtetea dr slaa ambaye ndiye fisadi namba moja ndani ya chadema na mzinzi mkubwa, basi na wewe ndo uko hivyo? Wewe ndo unatumika vibaya na wala unachoandika hakina mwelekeo. Hizo ndo ishara kuwa kijana unatumika
 
Kwa vile wewe unamtetea dr slaa ambaye ndiye fisadi namba moja ndani ya chadema na mzinzi mkubwa, basi na wewe ndo uko hivyo? Wewe ndo unatumika vibaya na wala unachoandika hakina mwelekeo. Hizo ndo ishara kuwa kijana unatumika

Slaa hakuhusika na EPA mbulula wewe hakuhusika na ufisadi wa rada, kagoda, meremeta na ufisadi mwingine chungu nzima unaoitafuna nchi. Uzinzi wake hauiangamizi nchi kama ambavyo ufisadi wa mabwana zako wa unavyoitafuna nchi. Mbulula wewe kataa kutumiwa kama ndom na anza kuithamini nchi yako badala ya kuwathamini mafisadi. Pumbaf wee. Kazi kuja hapa kuvuruga mijadala muhimu. Kama huna cha maana cha kusema kaa kimya badala ya kuandika pumba.
 
Inashangaza sana, na inasikitisha sana kwamba Rais wetu Mheshimiwa Jakaya Kikwete, anayeamini katika mazungumzo zaidi kuliko nguvu, ameingia kwenye mkumbo uleule wa kufanya yaleyale ambayo amemshauri mwenzake Kagame aachane nayo.

Hivi kulikuwa na mantiki gani kwa Kikwete kuutangazia umma tofauti zake na Kagame ilihali anaamini katika kumaliza migogoro kwa mazungumzo? Hivi Kikwete haijui namba ya simu ya Kagame? Kwanini hajampigia simu Kagame ili wayamalize, kabla ya kutuhutubia sisi? Au kama anaona hataweza kuongea na Kagame moja kwa moja, ina maana haijui namba ya Mseveni au ya Uhuru? Ameshindwa nini kuwaomba hawa majirani wamuitie Kagame ili wapatanishwe?

Japo amejibu vema katika hotuba yake lakini maneno yake mbele ya mtusi yule yanaweza kuongeza chuki badala ya kumaliza hizo tofauti. Baada ya kutoa hotuba ile, Kikwete anadhani atakuwa amesaidiaje kumaliza tofauti zake na Kagame? Je wanaweza sasa kukaa chini na kuyamaliza kwa vile tu amesema anasikitishwa na kauli za Kagame?

Dalili zinaonyesha kwamba Kikwete ameanza kutengwa na marais wengine wa Africa mashariki. Ni dhahiri Rais wetu ni tatizo, inawezekana anaiponza nchi. Haiwezekani kwamba ushauri tu dhidi ya Kagame ndiyo uliosababisha haya yote. Lazima kuna mengine nyuma ya pazia, ambayo Kikwete hataki kuyaweka wazi.

Kwa hakika kama Kikwete anaamini katika mazungumzo tunamwomba basi atafute muafaka na Kagame kwa njia ya mazungumzo badala ya kuendelea kurushiana maneno kupitia kwenye mikutano na hotuba. Maana naamini baada ya haya, Kagame naye atajibu! What will be next. Watanzania hatutaki vita sasa hivi. Muyamalize kama mlivyoyaanzisha.

'tunamuomba au unamuomba...?'
 
Back
Top Bottom