kwa nini isiwe Kagme aongee na Kikwete ila kKikwete aongee na Kagame hii haiwezekani Kagame kama ni mwanamme ushauri aliopewa angejibu palepale asingesubiri akacheze zeze nyumbani kwake tena kwa kutoa maneno ya kejeli na matusi pamoja na kutumia vyombo mbalimbali vya habari kumkashifu raisi wetu. Hicho alichofanya Kagame kinadhihirisha kuwa ni mwoga na mnafiki anayependa kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa. Huku akiitumia Genocide aliyoianzisha mwenyewe kama chambo.
Kagame ndio anapaswa aongee na Kikwete maana yeye ndiye kaanzisha ugonvi wa mawe kwenye nyumba ya vioo.
Mkuu hoja ya kumaliza tofauti kwa mazungumzo ni ya kikwete, siyo ya kagame.
Ni bora huyu kikwete ambaye ni muumini wa sera ya majadiliano mezani aiitekeleze sera anayoisadiki kwavitendo.
Ameshindwa kuitekeleza kwa walimu, madaktari, wahanga wa mtwara, Arusha na mwanza, basi hata huko alikotoa
ushauri ameshindwa? Je tuamini kwamba kweni anaamini katika majadiliano? au anaamini katika propaganda na mipasho?