Well, utawasema akina Mseveni kwamba waliingia kwa njia ya mtutu, but Kagame hakuingia kwa njia ya mtutu, wala Uhuru hakuingia kwa njia ambazo ni tofauti na zile alizoingilia Kikwete. Tusijidanganye kwamba Tanzania ni more democratic kuliko Kenya. Uchaguzi wa mwaka huu kule Kenya ulikuwa more democratic kuliko chaguzi zetu nyingi za hapa bongo. Kikwete hana ubora wowote unaowazidi wengine.
Unauliza mengine ni yapi; basi ninapenda kukueleza kwamba those boys in the east African community think that Kikwete is a puppet of the big boys from the western countries. Wanaamini kwamba Kikwete anajipendekeza huko ili apate misaada zaidi huku akiwachongea wenzake ili wachukiwe. Na hata wazo hilo alilolitoa Kikwete kwa Kagame mbele ya Ban Ki Mon, lilionekana ni mwendelezo wa Kikwete kujipendekeza kwa wakubwa.