Kila aliyeelekezewa kidole na CAG asibakizwe ofisini

Kila aliyeelekezewa kidole na CAG asibakizwe ofisini

Wanatuona wajinga wanadokoa dokoa tu wanapopenda wao, nasi kwa ujinga wetu "tunaridhishwa" na hatua wanazochukua.
Sio kweli kuwa wanatuona ni wajinga, ukweli ni kuwa sisi ni wajinga!.
Huwa naweka rejea ili nisirudie kuhusu ujinga wetu kwenye kitu kinachoitwa the anatomy of stupidity
- https://www.jamiiforums.com/threads...nya-informed-decision-au-ni-ignorance.936332/
-https://www.jamiiforums.com/threads/ikitokea-ccm-ishinde-je-ushindi-huo-ni-kutokana-kuwekeza-kwenye-maendeleo-au-kwenye-ignorance.916388/

-https://www.jamiiforums.com/threads/kuwajibishwa-kwa-prof-tibaijuka-ni-muendelezo-wa-ignorance-at-the-highest-levels-mnashangilia-uji.778527/
P
 
Kwani Mbowe amejikalia wapi?

Kwani Mbowe amejikalia wapi?
Wewe malaya, unafurahi kutupiwa makombo kama mbwa chini ya meza. Watu wanaongea kwa uchungu wewe kutwa kuwakejeli.

Omba Watanzania wasiamke, takataka kama wewe mtakiona. Kwa hakika leo nimekasirika, hivi unapata wapi huu ujasiri?

Siku hizi nashindwa hata kuingia JF! Sababu kuu ni takataka kama wewe! Tik tak tik tak…mwanga utajitokeza tu utake usitake!
 
Wewe malaya, unafurahi kutupiwa makombo kama mbwa chini ya meza. Watu wanaongea kwa uchungu wewe kutwa kuwakejeli.

Omba Watanzania wasiamke, takataka kama wewe mtakiona. Kwa hakika leo nimekasirika, hivi unapata wapi huu ujasiri?

Siku hizi nashindwa hata kuingia JF! Sababu kuu ni takataka kama wewe! Tik tak tik tak…mwanga utajitokeza tu utake usitake!
Kama una uchungu wahi Mloganzila manka 🤩🤩🤩

Au kalambe malimau mmeo analambishwa Asali huko!
 
Sio kweli kuwa wanatuona ni wajinga, ukweli ni kuwa sisi ni wajinga!.
Huwa naweka rejea ili nisirudie kuhusu ujinga wetu kwenye kitu kinachoitwa the anatomy of stupidity
- https://www.jamiiforums.com/threads...nya-informed-decision-au-ni-ignorance.936332/
-https://www.jamiiforums.com/threads/ikitokea-ccm-ishinde-je-ushindi-huo-ni-kutokana-kuwekeza-kwenye-maendeleo-au-kwenye-ignorance.916388/

-https://www.jamiiforums.com/threads/kuwajibishwa-kwa-prof-tibaijuka-ni-muendelezo-wa-ignorance-at-the-highest-levels-mnashangilia-uji.778527/
P

Kwamba sisi ni wajinga nachelea kukubaliana nawe. Sisi ni hawa hawa tuliokuwa tunakinukisha vilivyo na kina Dr. Slaa.

Sisi ni hawa hawa tukikinukisha barabara na kina Maalimu Seif:



Anayeruka ruka pale ni joni katika ubora wake.

Nini kimebadilika?

Ukweli ni kuwa tuna matatizo tusiyopenda kuyatamka:

https://www.jamiiforums.com/threads...f-mtikila-julius-malema-au-kina-tutu.2013213/

Siyo siri tunakosa akina Raila waliodhamiria kwa kauli na vitendo.

Tuvielekeze vyama vyetu kunako demokrasia kamili. Viongozi wachaguliwe kujibu matarajio ya wanachama. Wapimwe from time to time kuona kama wanakizi vigezo.

Kama hawakidhi wajiweke pembeni wao wenyewe au wafurushwe mara moja kutoka madarakani kuwapa nafasi wenye utayari. Uongozi si fursa. Uongozi ni mzigo.
 
Wewe malaya, unafurahi kutupiwa makombo kama mbwa chini ya meza. Watu wanaongea kwa uchungu wewe kutwa kuwakejeli.

Omba Watanzania wasiamke, takataka kama wewe mtakiona. Kwa hakika leo nimekasirika, hivi unapata wapi huu ujasiri?

Siku hizi nashindwa hata kuingia JF! Sababu kuu ni takataka kama wewe! Tik tak tik tak…mwanga utajitokeza tu utake usitake!

Hao ni wale walamba asali, wahuni au vijana wa hovyo. Hao wapo kila mahali hata kwa Raila huko.

Hawapaswi kutuvunja moyo bali kutuchagiza kukomaa zaidi.

Hao wanajulikana. Hawana mchango wowote wa maana kwa taifa hili.
 
Tuna nchi nzuri yenye fursa nyingi iliyogeuzwa kuwa mali binafsi ya wachache wenye kufahanika kwa kutokushiba kwao.

Maisha yamekuwa magumu. Mzigo wa kodi na tozo umekuwa usiomithilika. Wakati serikali yenyewe ikiwa imelenga makusanyo tu, bila kujali kuvuja kwa mifuko yake wala kama wananchi wake wanamudu hata zile gharama msingi tu za maisha. Ni gharama za vyakula, elimu, afya nk? Ni umaskini? Hayo siyo kipaumbele cha serikali tena.

Fika kwenye mahospitali kuona pesa za NHIF zinavyopigwa. Gharama za tiba zilivyowekwa kuwa za juu pasipo kuwa na uhalisia wowote.

View attachment 2583992

Ona wizi wa dawa unavyoendelea. Tambua kumbe maduka karibu yote ya ndani au kuzizunguka hospitali hizi ni mali binafsi za vigogo hawa hawa. Ona wananchi wa kawaida kupata huduma ilivyogeuka kuwa ni kwa kudra za mwenyezi Mungu. Ona rushwa ilivyotamalaki, kujuana, kubambikiziana gharama za tiba nk kulivyoota mizizi.

Kwani hata ni sekta ipi basi imenusurika kutoka kwenye mlolongo huu wa kero za rushwa kubambikiziana mambo malengo yakiwa kukusanya mapato haramu au halali kupitia faini au taratibu na sheria za kijanja janja zinazozaliwa kila siku? Ni polisi, takukuru, uhamiaji, TRA, LATRA, Tanroads, Tanesco, mahakamani nk.

View attachment 2583988

Kumbe kwa watendaji wa serikali, wananchi hawana chao. Rasmi na bila aibu watendaji wamewageuza mradi wao. Kodi wanazokamuliwa zinakwenda kuwaneemesha wachache. Haya yakiendelea wao wakitucheza shere kuwa hazina iko mikono salama.

Kwamba hapa chini ni pesa anazoona CAG kuwa tumepigwa?

1. Wizara ya Afya - Tsh. Bilioni 91
2. Wizara ya Elimu - Tsh. ilioni 33.5
3. Wizara ya Maji - Tsh. Bilioni 82.8
4. Wizara ya Maliasili na Utalii - Tsh. Bilioni 1.2
5. Hifadhi ya Jamii (TASAF) - Tsh. Bilioni 1.5
6. Wizara ya Maendeleo ya Jamii - Tsh. Milioni 141.
7. Bado bungeni kuliko na wabunge hewa.
8. Bado TAMISEMI kwenye halmashauri huko.
9. Bado madhirika ya umma.
10. Nk.

Hii haikubaliki.

Kuwaita wezi hawa stupid au kuwataka wote waliohusika kuachia ngazi wenyewe tu, haitoshi. Hawa ni wa kufurusha unceremoniously watake wasitake. Hawa ni WA kutiwa adabu na kulazimishwa kurejesha pesa zote walizofuja. Hawa makazi yao ya kudumu yanapaswa kuwa magereza siyo katika ofisi za umma kazi wizi wao ukiendelea.

Kwamba watupishe? Hawa wasiokiwa na mishipa ya aibu? Nani kasema? Ni wazi kuwa hawataondoka wenyewe eti kwa kutuonea huruma tu.

Serikali siyo mali ya mtu binafsi. Ni vyema mkuu wake akajitenga na wabadhirifu hawa wanaofahamika kwa majina. Akawachukulia hatua stahiki zenye kuonekana na bila ya kuwaangaliana usoni. Wenye nchi tunaangalia na hatutakaa kimya na hasa kama hatua za kuridhisha hazitachukuliwa kama ilivyozoeleka.

Waisijaribu kutu beep. Wanatoka wezi hawa sasa. La sivyo matumizi yetu ya nguvu ya umma yatakuwa ni haki yetu na kwa namna tutakavyoona inafaa.

Hili halina vyama, ni la wananchi na haliwezi kuwa na mswalia mtume.
Pamoja tuanze maandamano yasiyo na kikomo.
 
Pamoja tuanze maandamano yasiyo na kikomo.

Si mbaya kuwa na mawazo kama hayo kama option ya mwisho kama wanajifanya viziwi. Inawezekana:

 
Hai ni wale walamba asali, wahuni au vijana wa hovyo. Hao wapo jila mahali hata kwa Raila huko.

Hawapaswi kutuvunja moyo bali kutuchagiza kukomaa zaidi.

Hao wanajulikana. Hawana mchango wowote wa maana kwa taifa hili.
🤣🤣🤣
 
Naona CAG huwa anaiaibisha tu serikali KWA KILA mwaka kuimba nyimbo na mwakani wataiba zaidi hawafanywi kitu si mwaka jana wala mwaka juzi
 
Serikali hii imekubuhu kwa rushwa, ufisadi na ubadhilifu was raslimali za nchi,ili kunusuru jali hiii,Raisi Samia vunja hili Baraza la mawaziri ni mzigo mkubwa mno kwa wananchi na sisi was wanyonge hii siyo serikali ya wananchi Sasa imegeuka kuwa serikali ya wanaojenga matumbo yao,ng'oa wote hao,wanajifanya kumsifia Raisi kumbe ni mbwa mwitu mafisadi wakubwa,kwenye hili ndugu Raisi usipepese macho kabisaaaaaaaaaa yaani ni wizi wizi wiziiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom