Ettore Bugatti
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 4,123
- 8,242
Wewe uliyemuhukumu unamjua kiundani sanaaaa?we unamjuwa vizuri mbowe au unaongelea ushabiki? hivi ukijakutolwa ushahidi utafichawapi sura yako maana unamtetea kama unamjua kiundani saaaanaaaaaaaaa
Vifo vya asili ni tofauti na vifo vya dhulma!Usikute ulishawahi kufiwa na ndugu zako hujawahi hata kuwaombea misa kanisani
Ugaidi gani uliofadhiliwa na Mbowe?ndugu unafurahisha sana yaani ungefurahi kama wangechoma kabisa vituo ili uwepo ushahidi? you are not serious na ujue alikuwa anafadhiri ugaidi uwe unaelewa pia
ndiyo usubiri mahakamani sasa usiwe na haraka hivyo utaujuwa tu ila kujifanya unamjua sana mbowe eti hawezi kufanya hivyo unajidanganyaUgaidi gani uliofadhiliwa na Mbowe?
Tunaendeshwa kwa mfumo wa sheria na Rais kaapa kuilinda katiba!Inamaana kiapo ni geresha tu huku nyuma ya pazia wanaua waandishi na kuwapoteza kwa kugusa maslahi yao?Ikulu ni mahala patakatifu ni swaga tu kuwahadaa wadanganyika?mmekazana azori azorii, kila siku azori,je hao mnao wanyooshea vidole mna uwakika wamehusika? kama kahusika huyo mnaemuona malaika je?? alafu kitu kingine kufa kwa waandish wa habar ktk nchi znazolinda maslahi yake na siri zake ni jambo la kawaida sana, cha msingi ni kuwaonya hao waandish kuacha chokochoko za kupambana&kufuatilia system wasizokuwa na uwezo wa kupambana nazo..wakikaa kufanya majukum yao hawapungukiw kitu, dunian kote hata uko USA kwenye Demokrasia waandsh viehelehele kupotea ni kawaida sana..kila mtu afanye jambo kwa maslahi yake na taifa uku akijilinda mwenyewe maana utakapo umia ni shida yako mwenyew hakuna cha laana wala bibi ake nan ilimladi dunian hakuna haki zaid ya mbingun, hivo musitegemee haki kutendeka kwa 100% wala laana zakipumbav izo kutokea.....tulizen machungu
watakuwa wameelewa na kama hawajaelewa basi ni wabishi tu achana naommekazana azori azorii, kila siku azori,je hao mnao wanyooshea vidole mna uwakika wamehusika? kama kahusika huyo mnaemuona malaika je?? alafu kitu kingine kufa kwa waandish wa habar ktk nchi znazolinda maslahi yake na siri zake ni jambo la kawaida sana, cha msingi ni kuwaonya hao waandish kuacha chokochoko za kupambana&kufuatilia system wasizokuwa na uwezo wa kupambana nazo..wakikaa kufanya majukum yao hawapungukiw kitu, dunian kote hata uko USA kwenye Demokrasia waandsh viehelehele kupotea ni kawaida sana..kila mtu afanye jambo kwa maslahi yake na taifa uku akijilinda mwenyewe maana utakapo umia ni shida yako mwenyew hakuna cha laana wala bibi ake nan ilimladi dunian hakuna haki zaid ya mbingun, hivo musitegemee haki kutendeka kwa 100% wala laana zakipumbav izo kutokea.....tulizen machungu
Vp mbona na wewe umeshamuhukumu badala ya kusubiri mahakama?ndiyo usubiri mahakamani sasa usiwe na haraka hivyo utaujuwa tu ila kujifanya unamjua sana mbowe eti hawezi kufanya hivyo unajidanganya
Mwendazake kafa lakini Lissu ameishi baada ya shambulio lililotaka kutoa uhai wake,bado tu hujaona Karma is a bitch!mmekazana azori azorii, kila siku azori,je hao mnao wanyooshea vidole mna uwakika wamehusika? kama kahusika huyo mnaemuona malaika je?? alafu kitu kingine kufa kwa waandish wa habar ktk nchi znazolinda maslahi yake na siri zake ni jambo la kawaida sana, cha msingi ni kuwaonya hao waandish kuacha chokochoko za kupambana&kufuatilia system wasizokuwa na uwezo wa kupambana nazo..wakikaa kufanya majukum yao hawapungukiw kitu, dunian kote hata uko USA kwenye Demokrasia waandsh viehelehele kupotea ni kawaida sana..kila mtu afanye jambo kwa maslahi yake na taifa uku akijilinda mwenyewe maana utakapo umia ni shida yako mwenyew hakuna cha laana wala bibi ake nan ilimladi dunian hakuna haki zaid ya mbingun, hivo musitegemee haki kutendeka kwa 100% wala laana zakipumbav izo kutokea.....tulizen machungu
Tatizo kuna watu wanasomea kabisa kutenda uovu dhidi ya binadamu,na hawapo kwenye maamuzi,maamuzi yanatolewa na wanasiasa. CC BashiteHili wala hatutaki kukificha kwa sababu kila siku tukiwakumbuka ndugu zetu hawa tunabubujikwa machozi yaliyojaa maumivu makali na huenda hata damu hutokea kwenye machozi haya. Tunajua waliohusika na kuwapoteza hawa watu ni wanadamu na wala si wanyama, Laana ya mwenyezi Mungu iwatafune milele na ikiwezekana Mungu awape adhabu kali humu duniani na akhera, apukutishe pamoja na vizazi vyao.
Kila mtu ukikaa unajiuliza kosa la la Ben na Azory ni lipi kiasi cha kuwatowesha kabisa wakaacha familia zao? Kwani sheria za nchi hazipo mpaka kuwatowesha? Bado narudia kwa maumivu makali tena ikiwa wote Azory na Ben familia zao nimebahatika kuzitembelea zinatia huruma na unaweza kuzungumza na wazazi wa hao vijana ukajikuta unalia uwenyewe,Laana ya Mwenyezi Mungu iwashukie mafedhuli wote waliohusika na kutoweka kwa vijana wote, ikiwezekana wapoteze na wao na familia zao.
Uwe kaburini,uwe duniani Mungu akuadhibu kwa matendo haya na tena ulaaniwe. Hatuwezi kubaki kulia kila siku kwa sababu ya mafedhuli machache ambayo na yenyewe ni mizigo ya kesho kama si leo.
ikulu mahala patakatifu??? wee usirudie tena kutamka haya maneno yakijinga, ikuli ni kichaka chenye nyasi ndefu zinazoashiria amani, lkn ndan yake kuns majoka, hakuna haki kwa mtu anaekwenda kinyume na matamko ya ikulu wala yeyote anaepingana na system...ccm is evilTunaendeshwa kwa mfumo wa sheria na Rais kaapa kuilinda katiba!Inamaana kiapo ni geresha tu huku nyuma ya pazia wanaua waandishi na kuwapoteza kwa kugusa maslahi yao?Ikulu ni mahala patakatifu ni swaga tu kuwahadaa wadanganyika?
Ukianza kutoa roho za watu kwa kisingizio cha maslahi ya nchi basi ipo siku utatoa roho za watu kwa maslahi yako!
Dont play God!
watakuwa wameelewa na kama hawajaelewa basi ni wabishi tu achana nao
mi naongelea kwenda kinyume na system ambapo viongoz hufanya lolote kutetea malengo yao dhid ya wale wanaowapinga, bila kujaro sheria sjitetei naongelea realityMwendazake kafa lakini Lissu ameishi baada ya shambulio lililotaka kutoa uhai wake,bado tu hujaona Karma is a bitch!
Mzee wa Chato ni mavumbiMbona laana imeshaanza kuwatafuna huoni gaidi alipo sasahivi? alifikiri hatajulikana milele