Kila aliyehusika na kupotea kwa Ben Saanane na Azori Gwanda laana imtafune yeye na kizazi chake

We unamjuwa vizuri Mbowe au unaongelea ushabiki? Hivi ukijakutolewa ushahidi utaficha wapi sura yako maana unamtetea kama unamjua kiundani saaaanaaaaaaaaa
Je wewe unamjua kiundani Mbowe?

Tuambie kwa nini aliokolewa na Polisi wa usalama siku ya Mazishi ya Chacha wangwe kule Tarime?

Je kwa nini wananchi wa Tarime walitaka kumdhuru Mbowe msibani?

Kumbuka Kubenea aliekuwa kada mwandamizi na Mbunge wa Chadema, ambaye pia ni mwandishi na mmilikiwa magazeti mahiri ya habari za uchunguzi nchini.

Alisema Mbowe ndie anajua alipo,Ben Saanane!

Nyinyi mnaumia bure ila wenye Chadema yao wanajua siri za chama chao na sio wewe #Iboya2021!
 
Pathetic


Sent from my N100 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…