Kila aliyetenda uovu awajibishwe na waliotendewa waende kushtaki na si kulalamika tu

Itachukua muda kidogo kuanza kuaminiana tena baada ya hata vyombo vya habari vya umma, kutumika kutisha, kusambaza uongo na kujaza hofu na woga.
 
Unaongea kama huna kichwa. Mkuu siasa za visasi hazijamuacha mtu salama. Sabaya alimuua nani mtaje? Mama samia hawezi kujitenga na uovu wa chama. Kama mnataka hivyo basi kila mtu apambane kivyake tuone nani atapona.
THE LOST pole sana, nahisi wewe ni ndugu au mmufaika wa Sabaya. Hilo swali litajibiwa Mahakmani, kuwa mpole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…