Kila aliyewahi kwenda kwa waganga wanaotumia ramli anamajini. Hili hapa suluhisho.

Kila aliyewahi kwenda kwa waganga wanaotumia ramli anamajini. Hili hapa suluhisho.

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
Waganga wa kienyeji wamegawanyika katika makundi mawili.

1: Wanaotumia mitishamba kutibu bila kuhusisha mizimu au ramli au ushirikina. Hata nabii isaya aliwahi kutumia mitishamba kumtibu Mfalme Hezekiah. Hata Yesu aliwahi kutumia tope kumtibu kipofu macho.
Sizungumzii hawa...

2: Kundi kubwa LA waganga wanaotumia majini,ushirikina, ramli, kuongeaa na wazee. Hawa wapo dunia nzima sio afrika tu.

Ufahamu sasa
Kila aliyeenda kwa hawa, anamajini. Majini ni malaika wachafu waliofukuzwa mbinguni na mkuu wao ni Ibirisi. Kusema kuna majini wasafi pia ni hila za shetani kuteka watu. Majini hawa wamegawana vitengo vya kumsaidia.


KWA NINI ANAMAJINI?
Kwa Mujibu was Yesu Yohana 10:10 Mwivi haji ila aibe, na kuchinja na kuharibu.

KAZI TATU ZA SHETANI KWA WANAOMUENDEA NI

1: KUIBA

2: KUCHINJA
3: KUHARIBU

Na mwisho kukuua.

Nafuu unayopata kwa kuwaendea ni kukuzubaisha ili mwisho wa Sikua kuue. Shetani hana urafiki wala nia njema na MTU.

UFANYEJE WEWE ULIYEENDA AU NI MGANGA AU MGANGA WA KIROHO ULIYEJIFICHA UKRISTONI AU MISIKITINI?

1: Rudisha Mali zote za kiganga na uamue kumrudia Mungu. Acha kuhudumiwa na shetani. Unakuwa kama jogoo lililoandaliwa Siku yako uliwe.

2: Hakuna jina lingine lolote LA kukusaidia isipkuwa jina LA Yesu. Omba, futa maagano hayo uanze upya.

3: Usiwaonee wivu wachawi, wanaotumia dawa za kiganga. Maana maandiko yanasema ni ili waangamie. Ni kama kumuonea wivu MTU aliyeshiba mabomu tumboni.



Wengi hawatanielewa ila wanajua wanachopitia, wanavyopitia sirini.

Ubarikiwe.
 
Sisi wengine waganga ndiyo Mungu wetu hatuachi kwenda kuabudu pindi Mambo yanapoenda kombo, yaani iwe kuowa lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga iwe kuongea mbele za watu lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga ili tusikilizwe, iwe kupendwa na watu Baki familia ni lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga yaaani tunaonda mbali tunazikamata na kiziinamisha familia zetu ili zituabudu.

Yote hayo yanawezekana kwa nguvu za kiganga, sasa nitaachaje kumtegemea Mganga ili ninusurike na shari za wanadamu.
 
Sisi wengine waganga ndiyo Mungu wetu hatuachi kwenda kuabudu pindi Mambo yapoenda kombo, yaani iwe kuowa lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga iwe kuongea mbele za watu lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga ili tusikilizwe, iwe kupendwa na watu Baki familia ni lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga yaaani tunaonda mbali tunazikamata na kiziinamisha familia zetu ili zituabudu.

Yote hayo yanawezekana kwa nguvu za kiganga, sasa nitaachaje kumtegemea Mganga ili ninusurike na shari za wanadamu.
Hahaha

Ova
 
Sisi wengine waganga ndiyo Mungu wetu hatuachi kwenda kuabudu pindi Mambo yapoenda kombo, yaani iwe kuowa lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga iwe kuongea mbele za watu lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga ili tusikilizwe, iwe kupendwa na watu Baki familia ni lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga yaaani tunaonda mbali tunazikamata na kiziinamisha familia zetu ili zituabudu.

Yote hayo yanawezekana kwa nguvu za kiganga, sasa nitaachaje kumtegemea Mganga ili ninusurike na shari za wanadamu.
Nakupata mkuu.
Hii taarifa ni kutikisa kujiamini katika uganga.

Kila uwekezaji unamalipo, ila tofauti ni aina ya malipo. Hapa natoa taarifa ili watu wapime kilichobora.
 
Lakini Yesu alikuja ili watu wote wawe na uzima; kisha wawe nao TELE!
Hiyo ni fact.

Ila sisi watu wa Yesu tunamuangusha sana. Maana matendo ya mitume yalikufa mitume walivyokufa.

Kuna watu wa waganga wananufaishwa na majini ili mwisho ni yawaue. Lakini watu wa Yesu wanaamini uwepo wa majini kuliko malaika. Na hawanufaishwi na malaika wao.

Ilitakiwa kama mchawi anavyoweza kupenya na kuingia ndani kwako bila kufungua mlango na wewe uwe na uwezo Hata kwenda US kwa miguu kw a sekunde kama Shemasi Philipp.

Wakristo wengi wanazidiwa na watu wa shetani katika imani.
 
Waganga wa kienyeji wamegawanyika katika makundi mawili.

1: Wanaotumia mitishamba kutibu bila kuhusisha mizimu au ramli au ushirikina. Hata nabii isaya aliwahi kutumia mitishamba kumtibu Mfalme Hezekiah. Hata Yesu aliwahi kutumia tope kumtibu kipofu macho.
Sizungumzii hawa...

2: Kundi kubwa LA waganga wanaotumia majini,ushirikina, ramli, kuongeaa na wazee. Hawa wapo dunia nzima sio afrika tu.

Ufahamu sasa
Kila aliyeenda kwa hawa, anamajini. Majini ni malaika wachafu waliofukuzwa mbinguni na mkuu wao ni Ibirisi. Kusema kuna majini wasafi pia ni hila za shetani kuteka watu. Majini hawa wamegawana vitengo vya kumsaidia.


KWA NINI ANAMAJINI?
Kwa Mujibu was Yesu Yohana 10:10 Mwivi haji ila aibe, na kuchinja na kuharibu.

KAZI TATU ZA SHETANI KWA WANAOMUENDEA NI

1: KUIBA

2: KUCHINJA
3: KUHARIBU

Na mwisho kukuua.

Nafuu unayopata kwa kuwaendea ni kukuzubaisha ili mwisho wa Sikua kuue. Shetani hana urafiki wala nia njema na MTU.

UFANYEJE WEWE ULIYEENDA AU NI MGANGA AU MGANGA WA KIROHO ULIYEJIFICHA UKRISTONI AU MISIKITINI?

1: Rudisha Mali zote za kiganga na uamue kumrudia Mungu. Acha kuhudumiwa na shetani. Unakuwa kama jogoo lililoandaliwa Sikh yako uliwe.

2: Hakuna jina lingine lolote LA kukusaidia isipkuwa jina LA Yesu. Omba, futa maagano hayo uanze upya.

3: Usiwaonee wivu wachawi, wanaotumia dawa za kiganga. Maana maandiko wanasema ni ili waangamie. Ni kama kumuonea wivu MTU aliyeshiba mabomu tumboni.



Wengi hawatanielewa ila wanajua wanachopitia wanavyopitia sirini.

Ubarikiwe.
Amina huu ndio ujumbe wa pasaka ya mwaka huu hapa Jamii Forums.
 
Sisi wengine waganga ndiyo Mungu wetu hatuachi kwenda kuabudu pindi Mambo yapoenda kombo, yaani iwe kuowa lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga iwe kuongea mbele za watu lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga ili tusikilizwe, iwe kupendwa na watu Baki familia ni lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga yaaani tunaonda mbali tunazikamata na kiziinamisha familia zetu ili zituabudu.

Yote hayo yanawezekana kwa nguvu za kiganga, sasa nitaachaje kumtegemea Mganga ili ninusurike na shari za wanadamu.
Kwani huwezi jisimamia mwenyewe bila boost ya mganga
 
Hoja ya majini wazuri ni jitihada za mashirikina kutaka kuhalalisha ushirikina tu
Kazi ya Jini kuu aliyopewa ni Kutesa kisha kuua kama Yesu asipoingilia kati.

Hakuna jini mzuri. Hata wanaoamini majini Mazuri hawana ushahidi wa kivitendo wa uzuri wa Joni mzuri.
 
Sisi wengine waganga ndiyo Mungu wetu hatuachi kwenda kuabudu pindi Mambo yapoenda kombo, yaani iwe kuowa lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga iwe kuongea mbele za watu lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga ili tusikilizwe, iwe kupendwa na watu Baki familia ni lazima tuzishirikishe nguvu za kiganga yaaani tunaonda mbali tunazikamata na kiziinamisha familia zetu ili zituabudu.

Yote hayo yanawezekana kwa nguvu za kiganga, sasa nitaachaje kumtegemea Mganga ili ninusurike na shari za wanadamu.
Uwezo ulionao bila MGANGA ni mkubwa kuliko kushirikisha ushirikina.

MTU ambaye haamini Mungu na uganga anauwezo mkubwa kiakili kuliko anayeamini Mungu alafu aende kwenye uganga.

Kazi namba mmoja ya majini na mizimu ni kukifanyia kukushusha uwezo wa ufahamu kwanza. Ili uamini mifupa ya marehemu inamsaada mkubwa kuliko ajili zako uliyehai.


Ni tricks za kawaida sana. Ufahamu ndio kila kitu
 
Kwani huwezi jisimamia mwenyewe bila boost ya mganga
Mkuu sisi wengine huu ni utamaduni wetu, ukisema ujisimamie mwenyewe utachelewa Sana lazima tuhusishe shirki Ili kuwe na urahisi Let say umempa mtoto wa mjeda mimba na ukicheki Mwanae alikuwa anasoma ili badae apate sifa kuwa anamwanae kasoma halafu wewe unampa mimba unafikiri atakuacha? Lakini ili tupunguze Soo lazima tuende kwa Mganga ili kumfanya Mjeda aone kawaida tuu na ikibidi Mwanae awape Bure kabisa bila hata mahari Tena anaeza akawaambia harusi nasimamia Mimi, hayo yote yanawezekana ktk uganga ni Imani tuu.
 
Uwezo ulionao bila MGANGA ni mkubwa kuliko kushirikisha ushirikina.

MTU ambaye haamini Mungu na uganga anauwezo mkubwa kiakili kuliko anayeamini Mungu alafu aende kwenye uganga.

Kazi namba mmoja ya majini na mizimu ni kukifanyia kukushusha uwezo wa ufahamu kwanza. Ili uamini mifupa ya marehemu inamsaada mkubwa kuliko ajili zako uliyehai.


Ni tricks za kawaida sana. Ufahamu ndio kila kitu
Huo uwezo ndiyo naongezea na WA kiganga ili vikwazo vinipitie mbali
Maandiko yenyewe yanasema jisaidie nikusaidie.
 
Back
Top Bottom