Tetesi: Kila anayejiita mzalendo kipimo kiwe kupigwa risasi 38 mfululizo kwenye gari lake au nyumba yake

Tetesi: Kila anayejiita mzalendo kipimo kiwe kupigwa risasi 38 mfululizo kwenye gari lake au nyumba yake

Tâche unafiki yoyote anayejiita mzalendo nchi Hii tumjaribu kwa risasi 38 ukifuzu unapata nishani

naomba tuanze na uvccm

uzalendo oyeeeeeeeeeee

risasi 38 oyeeeeeeeeeeeee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kipimo hicho bora tu mniite kibaraka wa mabeberu

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Hupati mtu Tanzania nzima.
Sisi wengine kuiona hiyo bunduki ni kisirani siku nzima
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kipimo hicho bora tu mniite kibaraka wa mabeberu

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
😂😂😂😂😂✌✌✌✌ mie waniite mtoto wa beberu tu aiseee..tuanze na kule juu kabsa jumba jeupe
 
Mamake yuko wapi ? Ni Mgonjwa ??

Sent using Jamii Forums mobile app

hujaona jana alimyembelea muhimbili anaumwa?mama kapata stroke..sasa meseji za wana ungecheka ufe...uchek uzi upo humj..akafu inaonekana anaumia sana kumuon mamake vule usoni anajieleza kbs...sasa badala watu wampe pole wanampa pole lisu na wanamkumbuka saa8😂😅✌
 
Back
Top Bottom