Kwa kweli ila huwezi kufananisha bullet na mambo ya kitoto kama kulamba chocostick.hahaha adhabu ni adhabu aisee..
Haina kuchagua.Miwani haimtetei.The long tailed southener!πππππTo the koroshow,down under!πππyan unamanisha Majaliwa ana mkiaπππ
money ngelo kwani we sio mpnz wa katikati[emoji23][emoji23][emoji23][emoji36][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18][emoji18]
Haina kuchagua.Miwani haimtetei.The long tailed southener!πππππTo the koroshow,down under!πππ
Hahah ni kweli boss kazi, unaweza usitoke ndani kwa mda.Tena upate katikati iliyonona yenye majimaji ya chumvichumvi
Maendeleo hayana chama
money ngelo kwani we sio mpnz wa katikati
Maendeleo hayana chama
ππHahah ni kweli boss kazi, unaweza usitoke ndani kwa mda.
Katikati hakuna chama pale.
Hahahaaaaa nmekuelewa moneyhapana sio mpenz mkuu...
tafadhari kuwa mzalendo
Lakini mbona "mtukufu ustaadh msukuma" kahamia katikati.....ya nchi,Dodoma?Vipi kuhusu chama na maendeleo?ππππππππ
Tuanze na Mwenyekiti wa chama na amiri jeshi mkuuTΓ’che unafiki yoyote anayejiita mzalendo nchi Hii tumjaribu kwa risasi 38 ukifuzu unapata nishani
naomba tuanze na uvccm
uzalendo oyeeeeeeeeeee
risasi 38 oyeeeeeeeeeeeee
record zinaonyesha kuwa wengi aliowahi kuwatembelea hawachomoki...hahahahahaha una akili sana ..hv sijui mamake anaendeleaj leo
Dah sijauona huo uzi aiseee ,ngoja niutafute ,na sikuwa najua mama yake ni mgonjwa ,simuombei mabaya mama yake ila huyu jamaa akitia maguu kukusalimia jua upo kwenye wakati mgumu sanahujaona jana alimyembelea muhimbili anaumwa?mama kapata stroke..sasa meseji za wana ungecheka ufe...uchek uzi upo humj..akafu inaonekana anaumia sana kumuon mamake vule usoni anajieleza kbs...sasa badala watu wampe pole wanampa pole lisu na wanamkumbuka saa8[emoji23][emoji28][emoji111]