Kila anayenitongoza namzidi umri

Kila anayenitongoza namzidi umri

Acha ushamba ww! sa kama unamzidi umri inahusu nn? Acha ndoa za mazoea, kama mtu unampenda na umejiridhisha kua anakupenda, kipute anapiga fresh na anamuelekeo wa kujenga famolia na ww sasa we unataka mungu akupe kitu gan! Au inapenda vibabu?
 
Hili ni tatizo linalonikabiri miaka mitatu sasa kila mwanaume anayenitongoza ni mdogo Kwangju,
Nina miaka 35,na nahitaji mwenza wa kudumu,nimezunguka vya kutosha,sasa nahitaji kusettle,
Msaada kwenye tuta wanajukwaa

Jenu usikate tamaa, hebu MP Asprin atamaliza kiu zako zote za miaka mitatu
 
Last edited by a moderator:
Hili ni tatizo linalonikabiri miaka mitatu sasa kila mwanaume anayenitongoza ni mdogo Kwangju,
Nina miaka 35,na nahitaji mwenza wa kudumu,nimezunguka vya kutosha,sasa nahitaji kusettle,
Msaada kwenye tuta wanajukwaa

Ni PM.
 
Jenu unataka umri gani i kwani saizi ya kiatu?
 
Last edited by a moderator:
Imepigwa sana hiyo mpaka inatepeta ndo unakuja mzima mzima. Tafuta mtu wa miaka kuanzia 40 ndo wamezoea k* zilizotepeta.
 
Hili ni tatizo linalonikabiri miaka mitatu sasa kila mwanaume anayenitongoza ni mdogo Kwangju,
Nina miaka 35,na nahitaji mwenza wa kudumu,nimezunguka vya kutosha,sasa nahitaji kusettle,
Msaada kwenye tuta wanajukwaa

Hapo penye red, ndo unamaanisha nn? Je kipimo cha kuzunguka vya kutosha ni kipi? Au umri?
 
Tatizo lenu...mnapokuwa hot mnachagua na mnasumbua wanaume, ikishafka jioni ndio mnaanza kuhangaika...
 
Hili ni tatizo linalonikabiri miaka mitatu sasa kila mwanaume anayenitongoza ni mdogo Kwangju,
Nina miaka 35,na nahitaji mwenza wa kudumu,nimezunguka vya kutosha,sasa nahitaji kusettle,
Msaada kwenye tuta wanajukwaa

Loh! Mbona bahati? Hapo katikati ni Madonna-54 na Brahim-24, usione haya mradi akupeleke madhabauni
image.jpg
 
usiogope mtoto mzuri achana nao hao wanaoku,dissapoint. hebu nipm. nitakuliwaza ili mradi uwe na wezere au kifua cha kutosha..
 
Back
Top Bottom