Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Sasa hii imekuwa tabia au hulka, Tulipofungwa na UD SONGO mchezaji aliyetufunga akasajiliwa , leo tena Chikwende naye ndio kama mlivyosikia .
Bado haijafahamika kama usajili huu ni pendekezo la Kishingo au Matola, ama labda Babra , wala haijulikani kama usajili huu unakidhi vigezo vya kiufundi, bali kinachofahamika ni kwamba Chikwende amesajiliwa Simba baada ya kuidungua goli kule Harare hata kama mpira ulimgonga kwenye ugoko
Bado haijafahamika kama usajili huu ni pendekezo la Kishingo au Matola, ama labda Babra , wala haijulikani kama usajili huu unakidhi vigezo vya kiufundi, bali kinachofahamika ni kwamba Chikwende amesajiliwa Simba baada ya kuidungua goli kule Harare hata kama mpira ulimgonga kwenye ugoko