matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #21
Kwa maandiko yanasemaje. Maana mpaka unewajua, basi kuna sehemu uliwasoma.Muinjilisti, umechimba mambo vilivyo. Sasa naomba niulize, hivi wale wanefili ambao ni majitu walitokea wapi ?
Elimu ya majini zimejaa google we pakua tuAnzisha uzi mkuu napenda sana kujifunza kuhusu hayo madude
Maandiko yanasema walikuwa ni majitu, sasa hayo majitu yalitokea wapi ?Kwa maandiko yanasemaje. Maana mpaka unewajua, basi kuna sehemu uliwasoma.
Wanefeli ni uzao wa wanadamu na majini ndio hii species ya wazungu.Muinjilisti, umechimba mambo vilivyo. Sasa naomba niulize, hivi wale wanefili ambao ni majitu walitokea wapi ?
Walikuwa ni watu wa kawaida tu wenye maumbo yaliopitiliza. Wapo baadhi hata baada ya gharika. Mfano warefai na wakina goliathi.Maandiko yanasema walikuwa ni majitu, sasa hayo majitu yalitokea wapi ?
Kila aliyewahi kwenda kwa mganga anamapepo.
Kila addiction (pombe, madawa, bange) kuna majini yake.
Kila dhambi kuna majini yake nyuma yakishawishi uendelee.
Ushabiki hasa wa mpira na movie unamajini yake special kuhakikisha hushikiki. Bora utoroke kanisani ukaangalie match. Sio akili yako ni majini.
Sio kila unayemtamani ni akili au wazo lako, sio kila hamasa ya kuangalia porno ni akili yako, nyumq yake kuna ushawishi mkali wa mapepo.
Eti ulinzi wa damu ya yesu,Majini (mapepo) ua roho wachafu ni mengi kwa idadi hayahesabiki. Yote yako hapa duniani.
Sasa tofautisha mtu kupagawa na majini (possessed) na mtu kutawaliwa na majini (Controlled). Watu wanaopagawa na majini ni asilimia kama moja tu asilimia 99 ya watu wanatawaliwa na majini.
Hawa huwezi kuona wanafurukuta au wanaanguka hovyo na kutoa povu.
Kila aliyewahi kwenda kwa mganga anamapepo.
Kila addiction (pombe, madawa, bange) kuna majini yake.
Kila dhambi kuna majini yake nyuma yakishawishi uendelee.
Ushabiki hasa wa mpira na movie unamajini yake special kuhakikisha hushikiki. Bora utoroke kanisani ukaangalie match. Sio akili yako ni majini.
Sio kila unayemtamani ni akili au wazo lako, sio kila hamasa ya kuangalia porno ni akili yako, nyumq yake kuna ushawishi mkali wa mapepo.
Sasa ufanye nini?
Uwe mkweli kwa Mungu, ukili udhaifu uombe ulinzi wa damu ya Yesu na malaika wenye nguvu kuliko majini. Ruhusu roho mtakatifu na neno ndio lishawishi akili yako sio majini.
Ni hayo tu.
Barikiwa
Hawa tunawaombea, na kuomba nafasi ya kukutana nao na kuwafnyia biblical ministering. Ni watu wema sana, na waelewa. Alifanya hivi Paulo kwa mwanasiasa wa Cyplus Sergio Paulus aliyekuwa anaendeshwa na mapepo na waganga, alielewa Akabatizwa baada ya kumpa appointment paulo.Unawasaidiaje viongozi wa kisiasa wao binafsi maana wapo kwenye kila eneo ulilotaja hapa
Sawa. Asante kwa kuandika.Eti ulinzi wa damu ya yesu,
Hamna akili nyie wagalatia,
Mnawaogopa! Wangekuwa waelewa wangeacha tabia hizo maana wanakula viapo kwa kutumia vitabu vitakatifu, wapo kwenye nyumba za ibada kila siku za ibada mbona hamuwaambii live nyakati hizo?Hawa tunawaombea, na kuomba nafasi ya kukutana nao na kuwafnyia biblical ministering. Ni watu wema sana, na waelewa.
Sababu kubwa ni umasikini.Mnawaogopa! Wangekuwa waelewa wangeacha tabia hizo maana wanakula viapo kwa kutumia vitabu vitakatifu, wapo kwenye nyumba za ibada kila siku za ibada mbona hamuwaambii live nyakati hizo?
Hao binadamu siku hizi wameenda wapi ?Walikuwa ni watu wa kawaida tu wenye maumbo yaliopitiliza. Wapo baadhi hata baada ya gharika. Mfano warefai na wakina goliathi.
Kuna nadharia nyingi wamewakuza sana kwenye vitabu vya jubilee, na book of noah, na nadharia nyingi ambazo zinasema ni hybrid ya majini/mapepo.
Sijui.Hao binadamu siku hizi wameenda wapi ?
Muinjilisti siyo kwenye Torah tu, mbona kwenye kitabu cha Samweli kulikuwa na Goliath na Ishbibenob ambao walikuwa ni wana wa majitu ?Sijui.
Sio sikuhizi tu, mara ya mwisho kuzungumziwa kwenye maandiko ni kwenye vitabu vya Torah.
Walikuwa wanaishiliaishilia.Muinjilisti siyo kwenye Torah tu, mbona kwenye kitabu cha Samweli kulikuwa na Goliath na Ishbibenob ambao walikuwa ni wana wa majitu ?
Asante kwa mchango. Karibu sana
Ingekuwa ni uzao wa majini na watu. Hadi leo yangekuwa mengi kuliko watu. Maana mapepo ni mara trillioni ya idadi ya watu duniani.Muinjilisti siyo kwenye Torah tu, mbona kwenye kitabu cha Samweli kulikuwa na Goliath na Ishbibenob ambao walikuwa ni wana wa majitu ?
Hakuna majini wemaSasa hao majini wema waislamu wanawatoa wapi ?
Muinjilisti naendelea kujifunza, hebu nivumilie. Hivi wale wana wamungu waliozaa na wanawake wa kibinadamu kwenye Mwanzo 6 walikuwa ni wakina nani ?Walikuwa wanaishiliaishilia.
Unajua hata structure ya mtu wa wakati wa Yesu na sisi hapa leo kunautofauti mkubwa.
Dhambi (shetani) kazi yake ni kuiba, kuharibu na kuua. Hivyo miili yetu na maumbo yameendelea kuwa degraded kadili uovu unavyozidi.
Ukiona wakina Great Kali, Hasheem Thabeet and Co ni ukoko wa masalia tu. Kwanza wengi ni wagonjwa wagonjwa hadi wanafanyiwa upasuaji kubalance mwili.