Kila ikifika jioni socket breaker inaanza kuzima mara kwa mara

Kila ikifika jioni socket breaker inaanza kuzima mara kwa mara

chrisman49

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2011
Posts
352
Reaction score
77
Jioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha circuit breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi.

Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.
 
Weka picha ya circuit breaker tuione.
Hii hapa mkuu
IMG_20220301_125525_064.jpg
 
Mkuu kuna yafuatayo:
1. Kuna kifaa unakitumia kina fault na ndicho kinchofanya socket breaker ikate kwa hiyo fanya uchunguzi
2. Socket breaker ina uwezo mdogo kuliko workload unayotumia maana kwa muda unosema inazima ndio muda ambao nyumba nyingi matumizi ndio makubwa
 
Kagua vifaa vyote vyenye plug ya pin 3 , hivi ndio zaidi vinaweza kusababisha tripping endapo kuna muingiliano kati ya Live na Earth au Neutral na earth.

Pili kama mdau alivyosema inawezekana ni overload kwakuwa hiyo mida ndio watu wanapika, wanaangalia TV , redio zimewashwa kwasababu muda huo watu wanakuwa wameshatoka makazini wapo nyumbani.
 
Mna ugonjwa una itwa mastrofgatolaamspisioshyz...
 
Most breakers kwa bongo ni leakage,kunasehemu kuna loose in wiring or kuna kifaa kinashida ndio inayosababisha defence mechanism ya socket breaker...chunguza unaweza zima kifaa kimoja kimoja km upo kwako km umepanga washirikishe majiraji uweze tatua kabla hamjaunguza nyumba.
 
Kagua vifaa vyote vyenye plug ya pin 3 , hivi ndio zaidi vinaweza kusababisha tripping endapo kuna muingiliano kati ya Live na Earth au Neutral na earth.

Pili kama mdau alivyosema inawezekana ni overload kwakuwa hiyo mida ndio watu wanapika, wanaangalia TV , redio zimewashwa kwasababu muda huo watu wanakuwa wameshatoka makazini wapo nyumbani.
Shukarani kaka.
 
Most breakers kwa bongo ni leakage,kunasehemu kuna loose in wiring or kuna kifaa kinashida ndio inayosababisha defence mechanism ya socket breaker...chunguza unaweza zima kifaa kimoja kimoja km upo kwako km umepanga washirikishe majiraji uweze tatua kabla hamjaunguza nyumba.
Asante kaka
 
Nasubiri majibu
Nimetibu ugonjwa tayari, kumbe umeme kuzima kila jioni shida inakuwa breaker, jion umeme unapungua kama breaker ina uwezo mdogo umeme utakuw unazima inakuwa inashindwa kumaintain umeme, tangu nibadili breaker na kuweka yenye quality haujazima.
 
Most breakers kwa bongo ni leakage,kunasehemu kuna loose in wiring or kuna kifaa kinashida ndio inayosababisha defence mechanism ya socket breaker...chunguza unaweza zima kifaa kimoja kimoja km upo kwako km umepanga washirikishe majiraji uweze tatua kabla hamjaunguza nyumba.
Nimechange breaker na kuweka breaker yenye quality kubwa sasa hivi hauzimi umeme.
 
Kagua vifaa vyote vyenye plug ya pin 3 , hivi ndio zaidi vinaweza kusababisha tripping endapo kuna muingiliano kati ya Live na Earth au Neutral na earth.

Pili kama mdau alivyosema inawezekana ni overload kwakuwa hiyo mida ndio watu wanapika, wanaangalia TV , redio zimewashwa kwasababu muda huo watu wanakuwa wameshatoka makazini wapo nyumbani.
Sasa hivi hauzimi kaka kumbe ishu ilikuwa ni hizi breaker zetu za bei rahis za mtaani...
 
Mkuu kuna yafuatayo:
1. Kuna kifaa unakitumia kina fault na ndicho kinchofanya socket breaker ikate kwa hiyo fanya uchunguzi
2. Socket breaker ina uwezo mdogo kuliko workload unayotumia maana kwa muda unosema inazima ndio muda ambao nyumba nyingi matumizi ndio makubwa
Nimetoa ile breaker ya hovyo ambayo nilipost huko juu mwanzo, nimeweka RCD.
 
Back
Top Bottom