baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,580
- 1,773
Toa iyo socket brk. Unga waya direct tuuh hapoHii hapa mkuuView attachment 2215930
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa iyo socket brk. Unga waya direct tuuh hapoHii hapa mkuuView attachment 2215930
Mkuu sasa ikitokea shida bila breaker utajuaje?si utachoma nyumba.Toa iyo socket brk. Unga waya direct tuuh hapo
Haina shida hiyo haiwwzi kuungua meter ita switch offMkuu sasa ikitokea shida bila breaker utajuaje?si utachoma nyumba.
Hii ni pesa ngapi dukani mkuu..?Nimeweka hii RCD sasa hivi umeme hauzimi, nimetoa hiyo EURO naskia za hovyo sanaView attachment 2243112
Bei yake mkuu.Nimeweka hii RCD sasa hivi umeme hauzimi, nimetoa hiyo EURO naskia za hovyo sanaView attachment 2243112
uko na wapangaji watumishi wa serikali au uko kwenye nyumba yako unaishi na familia yako tuJioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha circuit breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi.
Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.