chrisman49
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 352
- 77
Jioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha socket breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi.
Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.
Hii hapa mkuuWeka picha ya circuit breaker tuione.
poleni sanaJioni kuanzia saa 11 mpaka saa2 na nusu ukiwasha socket breaker inazima kila baada ya dakika kadhaa, ila muda mwingine wote umeme hauzimi.
Wataalamu wa haya mambo naomba msaada.
Ngoja waje wataalam mkuuHata huki niliko inatokea sana hiyo,, sijui ni nini??
Asante sana[emoji1545]poleni sana
Shukarani kaka.Kagua vifaa vyote vyenye plug ya pin 3 , hivi ndio zaidi vinaweza kusababisha tripping endapo kuna muingiliano kati ya Live na Earth au Neutral na earth.
Pili kama mdau alivyosema inawezekana ni overload kwakuwa hiyo mida ndio watu wanapika, wanaangalia TV , redio zimewashwa kwasababu muda huo watu wanakuwa wameshatoka makazini wapo nyumbani.
Asante kakaMost breakers kwa bongo ni leakage,kunasehemu kuna loose in wiring or kuna kifaa kinashida ndio inayosababisha defence mechanism ya socket breaker...chunguza unaweza zima kifaa kimoja kimoja km upo kwako km umepanga washirikishe majiraji uweze tatua kabla hamjaunguza nyumba.
Nimetibu ugonjwa tayari, kumbe umeme kuzima kila jioni shida inakuwa breaker, jion umeme unapungua kama breaker ina uwezo mdogo umeme utakuw unazima inakuwa inashindwa kumaintain umeme, tangu nibadili breaker na kuweka yenye quality haujazima.Nasubiri majibu
Nimechange breaker na kuweka breaker yenye quality kubwa sasa hivi hauzimi umeme.Most breakers kwa bongo ni leakage,kunasehemu kuna loose in wiring or kuna kifaa kinashida ndio inayosababisha defence mechanism ya socket breaker...chunguza unaweza zima kifaa kimoja kimoja km upo kwako km umepanga washirikishe majiraji uweze tatua kabla hamjaunguza nyumba.
Sasa hivi hauzimi kaka kumbe ishu ilikuwa ni hizi breaker zetu za bei rahis za mtaani...Kagua vifaa vyote vyenye plug ya pin 3 , hivi ndio zaidi vinaweza kusababisha tripping endapo kuna muingiliano kati ya Live na Earth au Neutral na earth.
Pili kama mdau alivyosema inawezekana ni overload kwakuwa hiyo mida ndio watu wanapika, wanaangalia TV , redio zimewashwa kwasababu muda huo watu wanakuwa wameshatoka makazini wapo nyumbani.
Nimetoa ile breaker ya hovyo ambayo nilipost huko juu mwanzo, nimeweka RCD.Mkuu kuna yafuatayo:
1. Kuna kifaa unakitumia kina fault na ndicho kinchofanya socket breaker ikate kwa hiyo fanya uchunguzi
2. Socket breaker ina uwezo mdogo kuliko workload unayotumia maana kwa muda unosema inazima ndio muda ambao nyumba nyingi matumizi ndio makubwa
Nimeweka hii RCD sasa hivi umeme hauzimi, nimetoa hiyo EURO naskia za hovyo sanaHii hapa mkuuView attachment 2215930