Kila inapokaribia mitihani napata stress kali nashindwa hata kulala naishia kupostpone chuo. Naomba msaada

Kila inapokaribia mitihani napata stress kali nashindwa hata kulala naishia kupostpone chuo. Naomba msaada

ze jj

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2012
Posts
497
Reaction score
592
Habari wana JF,

Mimi nina tatizo kila nikiamua nisome chuo basi ikikarbia mitihani napatwa na hali ya anxiety au kichwa kujam.

Hii hali imepelekea mimi kupostpone au kuacha chuo mara tatu. Sasa nnaona kabisa Nahtaji elimu ili inikomboe na umaskini.

Nifanye nini kupambana na hii hali. Nkitaka nisome mambo mengi ili nifaulu hiyo hali ya kutaka kuchanganyikiwa inanitokea.
 
Habari wanajf. Mm nina tatizo Kila nkihamua nisome chuo basi ikikarbia mitihani napatwa na hali ya anxiety au kichwa kujam. Hii hali imepelekea mm kupostpone au kuacha chuo mara tatu. Sasa nnaona kabisa Nahtaji elimu ili inikomboe na umaskini . Nifanye nn kupambana na hii hali. Nkitaka nisome mambo mengi ili nifaulu hiyo hali ya kutaka kuchanganyikiwa inanitokea
Wewe umetupiwa mapepo yanayokuzuia usisome, tafuta Kanisa la kilokole lolote ukasali hapo.

Usipuuze hili.
 
Habari wanajf. Mm nina tatizo Kila nkihamua nisome chuo basi ikikarbia mitihani napatwa na hali ya anxiety au kichwa kujam. Hii hali imepelekea mm kupostpone au kuacha chuo mara tatu. Sasa nnaona kabisa Nahtaji elimu ili inikomboe na umaskini . Nifanye nn kupambana na hii hali. Nkitaka nisome mambo mengi ili nifaulu hiyo hali ya kutaka kuchanganyikiwa inanitokea
Uandishi huu ni wa chekechea
 
Wewe umetupiwa mapepo yanayokuzuia usisome, tafuta Kanisa la kilokole lolote ukasali hapo.

Usipuuze hili

Habari wanajf. Mm nina tatizo Kila nkihamua nisome chuo basi ikikarbia mitihani napatwa na hali ya anxiety au kichwa kujam. Hii hali imepelekea mm kupostpone au kuacha chuo mara tatu. Sasa nnaona kabisa Nahtaji elimu ili inikomboe na umaskini . Nifanye nn kupambana na hii hali. Nkitaka nisome mambo mengi ili nifaulu hiyo hali ya kutaka kuchanganyikiwa inanitokea
Nenda makanisa ya kilokole!
 
Ni dalili ya kuwa husomi, unaupungufu wa shule kichwani

Ukiwa umejiandaa vyema hutaogopa mitihani bali ndio utaomba ije kila siku, kwasababu ikija unaibutua

Kuwa na mapenzi kwa unachokisomea, usome kama mtu ambae unataka kuwa expert kwenye hilo eneo lako
 
Kuna kijana mmoja alikuwa na akili sana, Ila akitaka kuingia kwenye mtihani anachanganyikiwa, anaona anafukuzwa na majini na kuanza kupiga makelele, mara kundi la watu wenye mapanga wanamkimbiza, halafu mate yanajaa mdomoni muda wote, akiahirisha mtihani anakuwa Safi kabisa.
Akina nabiidaniel tukadhani amerogwa, acha tuanze kukemea!!!

Tuligundua baadae kuwa ni bhangi hakuna cha wachawi wala kurogwa
 
Duuh pole sana, kipindi nasoma hakuna kitu ninachokifurahia kama nikisikia kuwa kesho tunaanza mtihani, I miss those days.
 
Kwanza pole sana mdau... nmesoma comments naona ushaambiwa umetupiwa pepo..[emoji1787][emoji1787][emoji1787], usikubali kudanganywa ukapoteza mda..

USHAURI WANGU:
Iko hv.., kuna watu by nature ni wenye hofu ya juu sana.. ss hizi hofu zinatofautiana kati ya mtu na mtu.. inategemeana na aina ya hofu..kuna wenye hofu ya sindano, ainterview, fimbo, wengine wanahofia mnyama fulani.. na n.k.., ss ww hofu yako ipo ktk mitihani...

Ss hofu ya mitihan inaweza kuwa ni nature au wengine inatokana na mitihani ambayo alishawah ifanya..either kilitokea kitu akapoteza kujiamin kabsa na mambo ya mitihan.., either alifeli sanaa, alikutana na msimamizi wa mitihan yuko very aggresive akapoteza kujiamin tena au vitu vya vingine vya namma hyo vikampotezea kujiamin..

NINI KIFANYIKE;
kwanza km unaweza utafute chanzo cha hofu, kwa kuangalia ni hofu ya asili au inatokana na maandalizi ambayo sio sahihi ya mitihan..!

Then, tibu tatzo baada ya kujua chanzo..
Ila pia ukiona huwez tambua chanzo na suluhisho la tatzo..bas tafuta mtaalam wa phychology muongee kwa kina kuhusu hilo af mtapata ufumbuzi..
Km huna fedha za kumuona mtaalam bas nenda kwa dean of student wengi wanajua namna ya kukushauri ktk hilo..

Ila iman yang siamin km hyo ya kwako imetokana na mapepo ... ni hali ya kawaida hutokeaga kwa weng na inatibika kabsa...
 
Habari wana JF,

Mimi nina tatizo kila nikiamua nisome chuo basi ikikarbia mitihani napatwa na hali ya anxiety au kichwa kujam.

Hii hali imepelekea mimi kupostpone au kuacha chuo mara tatu. Sasa nnaona kabisa Nahtaji elimu ili inikomboe na umaskini.

Nifanye nini kupambana na hii hali. Nkitaka nisome mambo mengi ili nifaulu hiyo hali ya kutaka kuchanganyikiwa inanitokea.
Unasoma au kujifunza kwa ajili ya mitihani? Ukifundishwa au kujisomea, kinatakuwa kibaki katika ufahamu wako, wacha mitihani, hata ikibidi unatakiwa ueleze ulichojifunza, uweze kukielezea kwa yeyote.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Habari wana JF,

Mimi nina tatizo kila nikiamua nisome chuo basi ikikarbia mitihani napatwa na hali ya anxiety au kichwa kujam.

Hii hali imepelekea mimi kupostpone au kuacha chuo mara tatu. Sasa nnaona kabisa Nahtaji elimu ili inikomboe na umaskini.

Nifanye nini kupambana na hii hali. Nkitaka nisome mambo mengi ili nifaulu hiyo hali ya kutaka kuchanganyikiwa inanitokea.
Unaonekana unapenda sana starehe na hautimizi wajibu wako kwa wakati ukiwa chuoni hivyo inapelekea mitihani ikifika unajiona hujui kitu unaishia ku postpone.

Ushauri; Timiza wajibu wako kwa wakati, hudhuria vipindi vyote ,ikitokea umekosa kipindi iwe sababu ya kueleweka.

Fanya assignments zako kwa wakati.

Wakati chuo kinapofunguliwa muite shekhe akufanyie dua .Mitihani ikikaribia muite shekhe akufanyie dua.

Ukipata connection ya mganga wa kweli nenda akakutazamie mambo yako .
 
Habari wana JF,

Mimi nina tatizo kila nikiamua nisome chuo basi ikikarbia mitihani napatwa na hali ya anxiety au kichwa kujam.

Hii hali imepelekea mimi kupostpone au kuacha chuo mara tatu. Sasa nnaona kabisa Nahtaji elimu ili inikomboe na umaskini.

Nifanye nini kupambana na hii hali. Nkitaka nisome mambo mengi ili nifaulu hiyo hali ya kutaka kuchanganyikiwa inanitokea.

Ina ndugu yangu ye ikikaribia mitihani ana kua mwehu kabisa!!

wakasema amerogwa! Lakini mi nilijisemea hiki n kichaa cha uwezo mdogo wa akili.
Hii hali kama ilikua inanipata unahisi unataka kuchanganyikiwa vile lakin mm haikua mbaya hivo
 
Kuna jamaa mmoja alikuwa hivyo, alikuwa na Anxiety Disorder, kwao wanamsifia anaakili kwasababu alifaulu, alipofika chuo hata test za kawaida jamaa ana sweat na kuugua kabisa. Anxiety disorder ni tatizo kubwa kwa wale wanaokariri, mtiririko wake ukijaa anaanza kujichanganya mwenyewe, anaona haelewi na anachaganyikiwa kabisa. Mwisho naamua kuahirisha mitihani.
 
Back
Top Bottom