Kila Jumamosi ya kuamkia Jumapili huwa silali kwa sababu ya makelele ya makanisa

Kila Jumamosi ya kuamkia Jumapili huwa silali kwa sababu ya makelele ya makanisa

Nikifa MkeWangu Asiolewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2024
Posts
6,944
Reaction score
14,351
Bwana ni mwema!

Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.

Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.

Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.

Kwa sababu zangu binafsi.

Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?

Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.

Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement

Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala

Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.

Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.


Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?

Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
 
na wewe tafuta mziki mkubwa washa muda huo.nchi huru hii tusipangiane.kwanza unalala asubuhi una raha gani
Pia analala ana faida gani nchini. Mtu mwenyewe haingizi chochote nchini zaidi ya kushindia kubet tu alafu asumbue watu. Ningekuwa nasali hilo kanisa, tungekuwa tunakuja hadi kwenye hako kachumba kake na kuweka sauti za vyombo juu na kuanza kuimba na kusali huko.

Mtu mwenyewe analala kwenye kachumba kampja kama kuku alafu unasumbua humu JF.
 
Kuna moja lilikua karibu na home, wao kila ijumaa na jmos usiku wanakesha makelele hadi kero.

Nashukuru hiyo siku mvua kubwa ilinyesha likasombwa na maji maana lilikua la matubai. Since then tunalala kwa amani.

Watanzania hatuna elimu ya mipango miji,Sehemu zilizopimwa zina madaraja.

MAKAZI ONLY ,MAKAZI NA BIASHARA ,HUDUMA ZA JAMII etc kama mtu unataka kupumzika nunua MAKAZI ONLY huko hutokuta BAR ,KANISA wala MSIKITI.
 
Mkuu naona una washwa muwasho ambao sijawahi ona katika Dunia hii.

Wacha nikuache tu maana hujui lolote kuhusu Mimi na huenda house allowance ninayolipwq Mimi Kila mwezi wewe ndo basic salary Yako au ndo full malipo Yako yote.

Naomba nikuache mkuu
Pia analala ana faida gani nchini. Mtu mwenyewe haingizi chochote nchini zaidi ya kushindia kubet tu alafu asumbue watu. Ningekuwa nasali hilo kanisa, tungekuwa tunakuja hadi kwenye hako kachumba kake na kuweka sauti za vyombo juu na kuanza kuimba na kusali huko.

Mtu mwenyewe analala kwenye kachumba kampja kama kuku alafu unasumbua humu JF.
 
Mkuu naona una washwa muwasho ambao sijawahi ona katika Dunia hii.

Wacha nikuache tu maana hujui lolote kuhusu Mimi na huenda house allowance ninayolipwq Mimi Kila mwezi wewe ndo basic salary Yako au ndo full malipo Yako yote.

Naomba mk
Hizo ndio changamoto za kukosa mipango mji, kila kitu kinafanyika mahali popot
Pia analala ana faida gani nchini. Mtu mwenyewe haingizi chochote nchini zaidi ya kushindia kubet tu alafu asumbue watu. Ningekuwa nasali hilo kanisa, tungekuwa tunakuja hadi kwenye hako kachumba kake na kuweka sauti za vyombo juu na kuanza kuimba na kusali huko.

Mtu mwenyewe analala kwenye kachumba kampja kama kuku alafu unasumbua humu JF.
Mkuu kipindi naanza ujenzi Hadi na hamia kwangu kulikuwa na kanisa la wasabato tu Wala sikuwa na shida hii.

Walipokuja Hawa ndg Sasa halooo. Nawaza kuachia wapangaji nirudi kwenye site nyingine tu
 
Bwana ni mwema!

Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.

Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.

Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.

Kwa sababu zangu binafsi.

Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?

Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.

Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement

Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala

Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.

Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.


Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?

Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
Hama hilo eneo na wala usigombane na mtu.
NB;Kwa hiyo kipaimara uliruka ukatua kwenye ndoa moja kwa moja?Sijaona kama umeandika kuhusu kipaimara.
 
Sijasema asubuhi nimesema usiku Hadi usiku wa manane asbh hii nipo natibu Watoto wenu na wake Zenu huenda faida ikawa hii ya kitabibu mkuu.
Hii nchi tunaishi kama kwenye nyumba ya kupanga. Kikubwa kuvumiliana. Wanasema kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji chaguo ni lako. Kishi nao au kuhama.
 
Kuna moja lilikua karibu na home, wao kila ijumaa na jmos usiku wanakesha makelele hadi kero.

Nashukuru hiyo siku mvua kubwa ilinyesha likasombwa na maji maana lilikua la matubai. Since then tunalala kwa amani.
Kelele Zina kera sana hizi. Hata Mimi walianza Kwa maturubai tu hata Sasa kanisa la MUNGU wa BENDERA Bado la turubai lakini vyombo vya mziki walivyo navyo kama kuezeka wangekuwa wameezeka kabisa
 
Bwana ni mwema!

Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.

Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.

Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.

Kwa sababu zangu binafsi.

Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?

Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.

Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement

Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala

Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.

Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.


Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?

Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
Wewe siku moja kwetu kuanzia alhamisi ijuma juma mosi hadi jpili wanakesha loh!!! Mpaka unatamani uhame sehemu, ila tu kwasbb ni dini za mihemuko hawawezi kukaa miaka mingi wakipata mtaji watasepa tu, hilo ndo linatupa moyo.
 
Hii nchi tunaishi kama kwenye nyumba ya kupanga. Kikubwa kuvumiliana. Wanasema kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji chaguo ni lako. Kishi nao au kuhama.
Mkuu kazi tunazo fanya za mgodini hizi zinahitaji usingizi sana Ili uka perform huko underground vinginevyo uta teseka sana.

Jambo jingine sasaivi tuna mtoto mdogo ndo anaetusumbua sana halali kabisa.
 
Back
Top Bottom