Kila Jumamosi ya kuamkia Jumapili huwa silali kwa sababu ya makelele ya makanisa

Kila Jumamosi ya kuamkia Jumapili huwa silali kwa sababu ya makelele ya makanisa

Kwa nini ulichekewa kupata kipaimara?Nakuuliza kama mlei mkongwe.
Kipindi nikiwa form 4 nilikuwa nimemaliza Kila mafunzo hivo Ili tupewe cheti Cha TYCS Ilikuwa lazima tupate kipaimara kwanza. Siku askofu amekuja parokiani Kwa ajiri ya kutupia kipaimara nilkuwa nikiwa mgonjwa nipo kcmc moshi nimelazwa baada ya kutoka kule na kumaliza shule ujana ukachukua nafasi Hadi naona na kufunga ndoa ni jitihafa za wazazi tu kuwa lazima tufunge ndoa maana wangekufungiwa kupata sacrament.

Kwa maelezo hayo mkuu nadhan umenisoma
 
Mungu wa bendera wao jtano na ijumaa Hadi jpili kero tupu
Wewe siku moja kwetu kuanzia alhamisi ijuma juma mosi hadi jpili wanakesha loh!!! Mpaka unatamani uhame sehemu, ila tu kwasbb ni dini za mihemuko hawawezi kukaa miaka mingi wakipata mtaji watasepa tu, hilo ndo linatupa moyo.
 
Kipindi nikiwa form 4 nilikuwa nimemaliza Kila mafunzo hivo Ili tupewe cheti Cha TYCS Ilikuwa lazima tupate kipaimara kwanza. Siku askofu amekuja parokiani Kwa ajiri ya kutupia kipaimara nilkuwa nikiwa mgonjwa nipo kcmc moshi nimelazwa baada ya kutoka kule na kumaliza shule ujana ukachukua nafasi Hadi naona na kufunga ndoa ni jitihafa za wazazi tu kuwa lazima tufunge ndoa maana wangekufungiwa kupata sacrament.

Kwa maelezo hayo mkuu nadhan umenisoma
Vema na pole kwa kuumwa.Mungu ni mwema ingawa leo haujaenda kanisani kama mimi.
 
Bwana ni mwema!

Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.

Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.

Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.

Kwa sababu zangu binafsi.

Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?

Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.

Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement

Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala

Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.

Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.


Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?

Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
mungu wa walokole ni kiziwi,bila mikelele haswa hasikii.
 
Bwana ni mwema!

Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.

Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.

Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.

Kwa sababu zangu binafsi.

Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?

Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.

Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement

Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala

Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.

Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.


Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?

Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
Unaanzake kwenda kuishi karibu na Makanisa (ya masafa mafupi) au Misikiti au Bar au Soko?
 
Bwana ni mwema!

Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.

Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.

Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.

Kwa sababu zangu binafsi.

Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?

Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.

Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement

Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala

Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.

Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.


Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?

Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
Nakwambia mankinds search for God ni balaaa tupu. Ama kweli dini za uwongo zitakuwa nyingi sana na hao wanaomuabudu mungu kwa kuwapa kero wenzao naona tayari wanaenda kinyume na yale wanayofundisha.
 
Bwana ni mwema!

Sina shida na kumkera mtu yeyote
Lakini naomba tuliangalie hili swala Kwa undani wake.

Mimi nimezaliwa katika familia ya kikatoriki kubatizwa, komunyo na hata sacrament ya ndoa pia nimepata Rc.

Kwa miaka ya Hivi karibuni nimekuwa sihudhurii ibada.

Kwa sababu zangu binafsi.

Kero yangu ni hizi kelele za makanisa ya kilokole zinazopigwa Hadi usiku wa manane Tena Kwa sauti ya juu ya masipika na vipqza sauti.Unajiuliza Kwa hiyo huyu Mungu Ili aabudiwe lazima kuwe na kelele namna Ile kweli?

Nimefatilia Kwa undani zaidi nikagundua kuwa Wala sio kwamba Mungu anahitaji aabudiwe Kwa makelele namna Ile ila KUNA MASHINDANO NDANI YAKE.
Hapa Kuna kanisa linalo itwa T.A.G
Jingine ni kanisa la MUNGU WA BENDERA.

Lile la tatu sijalifahamu nahisi ni la mtu binafisi tu anajulikana Kwa jina Clement

Aisee ikifika saa3 usiku Kila kanisa linaachia mziki Wanaita wa kusifu kamwe hata mtoto mdogo inakuwa ni kazi sana kulala

Nimekuwa muhanga wa siku nyingi sana kuhusu hili.

Nipo karibu na kanisa la wasabato kama mita ½km Hivi lakini hii kero sipati sana sana Wakati wa makambi Yao ndo Huwa Kuna kero kiasi chake lakini pia Hawa wasabato Huwa wanapunguza sana kelele za vyombo vyao vya mziki.


Sijui Kwa ndg zetu walokole ninyi Mungu wenu nitofauti na Mungu wa wasabato na waroma?

Naombeni namna ya kufanya Ili niepukane na haya makelele. Ahsantee
Hao watu Huwa Wanatetewa dini za Wazungu kuliko kujitetea wao 😂😂😂😂

Wengine wanamtetea Mungu na Yesu kana kwamba ameomba wamtetee
 
Back
Top Bottom