bongodili tele
JF-Expert Member
- Jun 8, 2024
- 1,520
- 3,022
Ukiwa bize na maisha huwezi zisikia hizo kelele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kila mtu anaweza kuwa bize na maisha, kuna wengine ni wagonjwa na wazee wanaoshinda nyumbani tu.Ukiwa bize na maisha huwezi zisikia hizo kelele
Kuweni wastaarabu asee mnakeraJitathimini upya akili yako ww
Nimejenga mkuu.Umejenga au
Umejibu Kwa hekima sana.👏Sio kila mtu anaweza kuwa bize na maisha, kuna wengine ni wagonjwa na wazee wanaoshinda nyumbani tu.
Halafu adhana ni muda mfupi sana lkn wezentu wanakesha Hadi usiku wa manane aiseeKuna mwenzio juzi kaja na nyuzi ya kukerwa na adhana ya asubuhi kumbe ata huku nako pia
Hlf ukiangalia adhana ya alfajiri inakuamsha ujiandae na pirika zako
Umetiririka vyema sana mkuuMkuu unaandika as if wote ni matajiri au hatuijui hiyo mipango miji,ukisema nunua makazi only unataka wote tukajazane Masaki Upanga Posta maana hata hiyo Kariakoo yenyewe hakuna mipango miji.
Shida inaanza na serikali haiko active kushughulikia mapema haya mambo,iko hivi;mimi nanunua kiwanja 20x20 sehemu kabisa panaonekana ni kwa ajili ya kuishi watu lakini naweka ninachokiita Kanisa then naanza kero za kelele kwa wenzangu,mtaa una viongozi yupo balozi,yupo mwenyekiti wapo wajumbe wa mtaa na wote hizo kelele wanazisikia kwanini mapema wasimfate huyo nabii sijui muinjilisti wakamkumbusha sheria zinavyosema kuhusu anachokifanya?kwa sababu hizo kelele zinatembea mbali lakini wao kimyaa kama hamna kinachoendelea!
Kuna Misikiti na Makanisa huwezi kuhoji kwanini yapo sehemu fulani kwa sababu ukiitisha street map za makazi utakuta ni sehemu zilishatengwa kiasi wakazi ndiyo wageni lakini Makanisa mengi ya mabati huyakuti kwenye ramani za mitaa na ndiyo yanayoleta purukushani mitaani.
Una jMkuu naona una washwa muwasho ambao sijawahi ona katika Dunia hii.
Wacha nikuache tu maana hujui lolote kuhusu Mimi na huenda house allowance ninayolipwq Mimi Kila mwezi wewe ndo basic salary Yako au ndo full malipo Yako yote.
Naomba nikuache mkuu
Waafrika hamjastaarabika. Unafunga spika kubw saa sita usiku halafu unaona Sawa. Wewe noise pollution hujawahi sikia?Hauko serious na usingizi , watu wanalala kweny mkesha , watu wanalala na mbuzi hao wanatafuna usiku mzika ...Yaani kelele mtu anapiga kweny eneo lake wewe unapata tabu aiseee.
Jua yakuwa hatufanani mkuu. Vilevile tuna Watoto wanahitaji utulivu sana Wakati wa usiku. Tunateseka sana basi tu.Nilitaka nimjibu hv umeniwahi,mm nikiwa na usingizi mzito naweza kulala hata juu ya hayo maspika yanayopiga kelele[emoji23][emoji23] halafu kingne yeye anazipa sana attention hzo kelele!.inatakiwa uzipuuze na hutopata nazo shida,nishawahi kupanga karibu na kanisa kwa kutokujua aisee ilikuwa noma mwanzoni kama mwezi hv nilikuwa silali lkn baada ya kuzipuuzia kelele huwezi amini zilikuwa hazinikeri!
Yaaani utetezi unaotolewa na wadau humu unatia hasira.Sio kila mtu anaweza kuwa bize na maisha, kuna wengine ni wagonjwa na wazee wanaoshinda nyumbani tu.
Hao ndo walokole wenyewe mkuuYaaani utetezi unaotolewa na wadau humu unatia hasira.
Bila shaka mtoa mada anaishi uswazi sana ndio makanisa yanakopatikana mtoa mada anakaza fuvu kujikuta ana akili sana hataki neema ya Mungu imfikiePia analala ana faida gani nchini. Mtu mwenyewe haingizi chochote nchini zaidi ya kushindia kubet tu alafu asumbue watu. Ningekuwa nasali hilo kanisa, tungekuwa tunakuja hadi kwenye hako kachumba kake na kuweka sauti za vyombo juu na kuanza kuimba na kusali huko.
Mtu mwenyewe analala kwenye kachumba kampja kama kuku alafu unasumbua humu JF.
Kwenda mpuuzi wewe.Mbona wenu Hadi muitane Kwa adhana bila adhana hawezi kuwasikia?
Neema Gani ya makelele? Kwani Mimi Sina dhehebu? Mbona wasabato wanaabudu Kwa ustaarabu tu ?Bila shaka mtoa mada anaishi uswazi sana ndio makanisa yanakopatikana mtoa mada anakaza fuvu kujikuta ana akili sana hataki neema ya Mungu imfikie
Ukitangulia weweje?Ngoja ufe kwanza uwone tunavofamia.....
Mi nataka kuchukua huyo...Ukitangulia weweje?
Subiri nifeMi nataka kuchukua huyo...
Unaesema ukifa asiolewe mkuu
PamojaSubiri nife
Ila bado sana Mungu akupe miaka mingi zaidi mkuuSubiri nife