CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Hili la msingi sana. Siti ziwe na number, na tiketi ziwe na number ya siti. Kuna wahuni wanalipia tiketi za mzunguko wakifika ndani wanamfinyia askari buku 2 wanakaa VIPs.Hii inchi ngumu ndugu, mimi hata uwanjani niliishaacha maana niliona ujinga mwingi. Nakataa tiketi ya VIP halafu nikifika nakosa siti napelekwa mzunguko, khaa Mambo ya uwanjani yanasikitisha.
Kweli kabisa inatia kinyaaa...Tanzania ustarabu wa usafi hauzingatiwi.
Jana nilikuwa Benjamin Mkapa Studium. Pamoja na kutangaza kufanya ukarabati, sijui wamekarabati nini. Uwanja mchafu kila kona. Kuna nguzo moja nimeona imeoza kwa maji. Yani hata kupaka rangi tu kuta, korido na maeneo mengine ni shida. Vyooo havina maji, yaani unaweza kwenda kukata gogo ukaahirisha.
Hivi fedha za uwanja zinafanya kazi gani? Lini tutakuwa watunzaji wa mali zetu?
Uhuru sasa. Kuna shughuli inayokutanisha askari wanawake nadhani ni SADC yote. Nimejikuta nimevutwa eneo hili.
Uwanja wa kupokea wageni hata usafi wa kufagia tu imeshindikana. Chupa, take away, makaratasi, tissues yamejaa kila jukwaaa. Mvua imenyesha kidogo, watu wanalowa kisa bati zinavuja.
Majukwaa yamejaa ukoko wa uchafu. Rangi tu na kusafisha shida.
Hivi nani atufundishe ustarabu?
Nakereka sana
Watanzania wengi ni washenzi tu.Tanzania ustarabu wa usafi hauzingatiwi.
Jana nilikuwa Benjamin Mkapa Studium. Pamoja na kutangaza kufanya ukarabati, sijui wamekarabati nini. Uwanja mchafu kila kona. Kuna nguzo moja nimeona imeoza kwa maji. Yani hata kupaka rangi tu kuta, korido na maeneo mengine ni shida. Vyooo havina maji, yaani unaweza kwenda kukata gogo ukaahirisha.
Hivi fedha za uwanja zinafanya kazi gani? Lini tutakuwa watunzaji wa mali zetu?
Uhuru sasa. Kuna shughuli inayokutanisha askari wanawake nadhani ni SADC yote. Nimejikuta nimevutwa eneo hili.
Uwanja wa kupokea wageni hata usafi wa kufagia tu imeshindikana. Chupa, take away, makaratasi, tissues yamejaa kila jukwaaa. Mvua imenyesha kidogo, watu wanalowa kisa bati zinavuja.
Majukwaa yamejaa ukoko wa uchafu. Rangi tu na kusafisha shida.
Hivi nani atufundishe ustarabu?
Nakereka sana
I think we are made to be the way we areKama wataka kujua kwamba watanzania ni failure uchafu na uharibifu tunao damuni neenda kweny public premises kama. Stendi ya magufuli mbezi, neenda hospitali ya taifa muhimbili utajionee uchafu nawewe utajidharau tu.
Na CCM tuwape DP WorldInasikitisha sana. Roho zetu ni chafu sana ndiyo maana kila kitu chetu kinakuwa kichafu.
kaone uwanja mdogo tu wa Azam ulivyo msafi. Waarabu wale.
Hicho kiwanja wapewe DP World wakiendeshe.
Watanzania hatuwezi kitu zaidi ya majungu, matusi, roho mbaya, uchawi, wizi, uongo umbea, uzandiki na uchafu wa kila namna. Vitu vyetu vitaacha kuwa vichafu ikiwa roho zetu ni chafu? Fikiri.
Duuuh 🙄Kuna kaukweli fulani, wakati wa shirika la fast jet usafiri wandege walikua wawakika route 5 mwanza kwa siku ile ilikua inaendeshwa na wazungu. Sasa neenda air tanzania some time usafi wandege unafanyiwa tayari abilia wamo ndani, na kubaya zaidi wakika wa safari haupo.