Kila kitu kimekuwa fake: Chumvi, sukari, sabuni, viberiti

Kila kitu kimekuwa fake: Chumvi, sukari, sabuni, viberiti

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,150
Reaction score
3,225
Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto

Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu

Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti
 
Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto

Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu

Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti
Ulikuwa haununui mwenyewe ndio sababu.
 
Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto

Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu

Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti
Hata sumu za bongo za siku hizi nasikia ni fake, haziui.
 
Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto

Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu

Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti
Saruji, mabati na nondo ndiyo usiseme kabisaaaa
 
Nadhani ni raw materials tu kuwa chache ukilinganisha na ukuaji wa soko unaochangiwa na wingi wa watu.

Kwa hiyo lazma ubora uminywe ili kuzalisha vinavyotosha.

Siku hizi hata products za chuma mfano majembe, shoka au pasi za mkaa. Vyote vyepesi Ila ukibahatika kupata vya zamani. Utafurahia maisha
 
Nilidhani mimi tu. Hadi sometimes naamua kukemea pepo la uharibifu wa mali. Unawasha njiti haziwaki.

Sijui wamechakachua pale kwenye ile karatasi ya kusababisha njiti iwake??
Yaani mi Kila siku nakemea pepo la chuma ulete , lkn nimegundua vitu vimepingua ubora kabisa
 
Back
Top Bottom