KIpokea chumvi chako cha mdomoni nacho kimekua na kuongezeka so unahitaji chumvi nyingi pia mkuu😀Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto
Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu
Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti
Kumbe mpo tofauti bana..Ubora wa condom vipi?
Safari ya Sasa tofauti kabisa na ya zamani...hata mvinyo..wa zamani ULIKUWA mzuri sana lkn Sasa Kuna wine zinakuja na madumu utadhani zimewekewa gongo ndani, Yani ukinywa unalewa chaap na kichwa kinaumaUbora wa bia je?
Condom zinawasha sana, sio tamu kama za mwanzoUbora wa condom vipi?
Bia za siku hizi ni mikojo ya wazungu.!!! Zamani ni walevi wabobevu walikua wanaweza kuweka bia kwenye bilauli. Ukiweka kidogo povu kaunta nzima!! Siku hizi mmeletewa bia lite unaweka bia angani glass chini unamimina na hakuna povu loloteUbora wa bia je?
Chumvi hazina madini joto, sijui TBS hawaoni Hilo...Kuna Mchele ukila midomo inakuwa mikavu na unapaukaaa, unakuwa mkavu..Yani vitu vimekuwa hatari hatariKIpokea chumvi chako cha mdomoni nacho kimekua na kuongezeka so unahitaji chumvi nyingi pia mkuu😀
Ukiwa na serikali feki kila kitu kinakuwa feki. Elimu feki, Afya feki, bidhaa feki, barabara feki, kodi na tozo feki....Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto
Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu
Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti
Chumvi yenye madini joto unaijuaje mkuu ?Chumvi hazina madini joto, sijui TBS hawaoni Hilo...Kuna Mchele ukila midomo inakuwa mikavu na unapaukaaa, unakuwa mkavu..Yani vitu vimekuwa hatari hatari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Zamani Tambi zilikua 487 kwenye kimfuko, siku hizi wanaweka 350 bila haya
Hii ilinikuta juzi kati, nataka niwashe Embassy langu, kila nikiwasha kama njiti 15 na kiberiti kikaisha!! Aisee hii ni kweli kabisa.Njiti za viberiti mpaka uwashe ya nne, ya tano ndio ikubali
hivi kiwanda cha kibo match kilienda wapi? hivi kweli tuagize viberiti vya njiti china? are we mud?Nilidhani mimi tu. Hadi sometimes naamua kukemea pepo la uharibifu wa mali. Unawasha njiti haziwaki.
Sijui wamechakachua pale kwenye ile karatasi ya kusababisha njiti iwake??
Achana na hivyo vitu viongozi wenyewe hasa wa ccm ni fake.Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto
Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu
Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti
Mkuu zijaribu basi halafu utuletee mrejesho 😆😆Hata sumu za bongo za siku hizi nasikia ni fake, haziui.
Yaani chumvi za siku hizi hazikolei kiasi ukinunua pakti inaisha week tuu..zamani wakati nakuwa chumvi ilikuwa inanunuliwa kwa nadra sana sababu ilikuwa haiishi.. halafu hazina madini joto
Sukari nayo haikolei kwenye chai wala uji, kiasi inabidi itumike nyingii
Sabuni ndo usiseme, kipande unafua siku moja tu kimeisha...Kila kitu kimebadilika sio kama enzi za ujana wangu
Kila kitu kimekuwa fake hadi viberiti
Ila mkorofi weweUlikuwa haununui mwenyewe ndio sababu.