Kila kitu Kupost!!! Inakera

thread zingine unaona kabisa ni za kupeleka chitchat...ila unazikuta hapa mmu

wala huko chit chat hazifai kabisa...ni za kufutwa tuu...watu wanadhani hapa ni pa kupost chochote unachojisikia kana kwamba upo facebook....unaweza kuta mtu kwa siku anapost thread tano tofauti na zote anajivika uhusika! kana kwamba ni yeye...

Halafu mtu akishapost mambo ya hovyo hovyo ndio unakuta watu wanachakachua tu maana hakuna cha kuchangia apo
 

Kumbe mkuu ushaliona hili, mm huwa nashangaa sana
 
inachosha...halafu threads za hivyo you can guess the age..ni vijana wanaotaka kusikika,kuonekana wamefanya kitu jf..hataka kitu chenyewe ni nonsense..inakera
 
fata mambo yako unacomplicate maisha ka mwizi post post post watakupost


Nmesema only great thinkers are needed, nawe umetokea wapi?? IQ = mental age/normal age *100%, ukicalculate utakuta uko below 25%, basing on mental blotter or turbulalaser
 

kweli kabisa. ni ngumu kutenganisha magugu na ngano, hasa ukizingatia hakuna mchujo wakati wa kujoin JF. Sio wote waliopo humu ni GT. uelewa wa watu unatofautiana sana jamvini. La muhimu ni kuzipotezea thread zisizokuwa na mashiko
 
Soon tutaanza kuona thread za "mwenzenu maumwa mafua maombi tafadhali" haaaahaa duh JF imeanza kupoteza uimara wake kwenye kutoa mawazo chanya tofauti yake na FB,IG imeanza kua ndogo and im sure the worse is knocking at front door hardly ngoja mkuu mwenyewe utaanza kuingia kwa manati maana utakosa mada zenye mashiko.
 
Haa haaaa "et mwezenu nauma mafua" eti hapo post imekamilika@MCdonald
 
JK ina watumiaji waliosajiliwa (registered members) zaidi ya 200,000. Unapokuwa na idadi ya watu kama hii basi tegemea mambo mengi. Yapo utakayoyapenda na yapo yatakayokuchukiza na kukukera. Hii ndio sifa kuu ya tovuti zinazotegemea kinachoadikwa na watumiaji (user-generated content). Kama umeshawahi kutumia au kutembelea tovuti kama Facebook na YouTube basi utakuwa unaelewa nina maana gani.
 
hata hii ilikuwa sio ya kupost aiseeee au unasemaje mkuu
 
Ilikuwa JF ya enzi ya mwalimu siyo JF ya sasa umechelewa bro
 
Jf shamba LA bibi
Tambua msafara wa mamba na kenge+ vicheche+nguchiro wapo.
GT haipo tna
 
Nmesema only great thinkers are needed, nawe umetokea wapi?? IQ = mental age/normal age *100%, ukicalculate utakuta uko below 25%, basing on mental blotter or turbulalaser

njo intelligence kama unakifua bwana mdogo


ulichoandika narudia NI UTUMBO fata yako.
 
wote humu great thinkers hata hizo post unazoona za kimbumbumbu zimeandikwa na great thinkers kuelimisha jamiii mbumbumbu.
 
JF Vijiwe Viko Kibao,You Can Choose Which One Suits You Best.
Otherwise Usiingie Kabisa
 
Leomimi ww acha tu kinyaa cyo kinyaa, utumbo cyo utumbo,!!! Cjui wanataka umaarufu kupitia social networks,

wananikera wote wanaoandika kama vitoto eti cyo,cjui, ww mm...
unahoja nzuri by the way
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…