Kila kitu ni Samia Samia Samia. Serikali Iko wapi?

Kila kitu ni Samia Samia Samia. Serikali Iko wapi?

Naona Kila jambo ni lazima liitwe Samia. Hivi Serikali inafanya kazi gani kama kila kitu kinafanywa na Samia Hassan Suluhu!?

Nasikia "Birthday" yake baadhi ya huduma za Afya zitatolewa Bure!
Nasikia "Birthday" yake baadhi ya huduma za Afya zitatolewa Bure!🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom