Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

Kuna Mods misukule ya time warp watafuta huu uzi si muda
aaah au Mama kaongelea wataaamka....
 
Kuna interview Moja kali sana tulifanya na Fredrick Bundala "Sky Walker" wa SNS...
Ni vema mkapata muda wa kuisikiliza then turudi hapa tutatemeana madini Mwanzo Mwisho!!! Nadrop link hapo chini
[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]
 
Asante nakushukuru kwa moyo wako wakutaka wengine wajifunze
 
Ahsante sana kiongozi..., Natumaini kàtika yale mengi uliyonayo kuhusu cryptocurrency umejaribu kushare nasí yale machaçhe ambayó ni ya muhimu zaidii

Ikikupendeza tumaomba uendelee kutupa elimu na mwongozo juu ya uwekezaji huu wa kidigitali ili tuweze kunufaika nao na kuenenda na kasi ya mabadiliko na ukuaji wa uchumi duniani kiujumla.

Naomba kuwasilishaà✍️✍️
 
3
 
Uzi mzuri huu,ngoja nitulie halafu nisome haya madini...
 
Nimependa uzi wako huu,ni mzuri sana mi nimeipenda biashara hii hila nilishajipa kipindi cha miezi sita kuisoma na kuifatilia umri wangu bado unanieuhusu kujaribu na kurisk hila tafadhali naichukua na wewe umeniongezea kitu.nitakutafuta unielimishe mengi cha msingi naomba contact zako muhimu.

Sent from my TECNO B1g using JamiiForums mobile app
 
Bitcoin, hii ilinifanya nikawa nime data, na niliweza kupungua kilo nying San kwa mawazo ya kupoteza pesa yang ambay nilikuwa na malengo nayo ya kimaendeleo
Kwa kwel niliyumba baada ya kumining kwa scamer.
Sema nilipata kuona crip ya jack ma ndo iliyo niamsha kweny ngazi ya bitcoin na mpka leo nimekuwa risk taker tena wa hatari Sana, siwazi tena kupoteza na nipo mbion kurud kweny hii GAMES Maan bad ninazo bitcoin 0.0789 kweny localbiticoin
 

Dah leo nimekumbuka hii comment niliisoma 3 years ago na nikawa lofa nikaweka $5000 kununua bitcoin basi leo nimeisoma tena najikuta nacheka tu kuna mipumbav ilitaka tuamini ujinga wao pesa itupite kushoto hahahahahahahahahahaha
 
Hapa ukiuza unapata IST

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Dah leo nimekumbuka hii comment niliisoma 3 years ago na nikawa lofa nikaweka $5000 kununua bitcoin basi leo nimeisoma tena najikuta nacheka tu kuna mipumbav ilitaka tuamini ujinga wao pesa itupite kushoto hahahahahahahahahahaha
kuna watu hawapendi kuona wenzao wakifanikiwa, wanapenda wawe pekeyao hawataki kuwaambia wenzao siri za mafanikio yan
 
bro ushajiunga na Bitcoin maana kuna ATM zinatoa Bitcoin huko duniani na hapa nchini mpaka akina mpoki wamekula shavu kuitangaza Bitcoin
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…