Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

ndugu kujifananisha na Bill Gates si haki!
yule jamaa ana uwezo wa kutosha wa kupoteza pesa nyingi tu na bado asiyumbe...je sisi wengine tuko hivyo pia??
 
Hongera sana kwa Uzi uliotukuka.
Cha kusikitisha na kushangaza watu wanaojifanya ni wasomi na wamejaa maarifa hapa Tanzania ndio wahanga wakuu wa hii Crypto currency BS!
Jitu unalikuta linafanya Siri kabisa. Yanakaa sehemu hadharani na kujadili Crypto currency bila kuwa hata na chembe ya aibu. Ilhali hawajui lolote kuhusu hiyo so called "Currency"!
 
ndugu kujifananisha na Bill Gates si haki!
yule jamaa ana uwezo wa kutosha wa kupoteza pesa nyingi tu na bado asiyumbe...je sisi wengine tuko hivyo pia??
Usipoteze muda wako kwa kulielimisha jitu ambalo limeshapotoka mkuu.
Huyo anajifananisha na Bill Gates...wakati Bill Gates anajitolea billions of USD kusaidia changamoto mbalimbali ulimwenguni, wakati yeye hajawahi hata kutoa kilo 2 za sukari kwenye kituo cha kulelea yatima!
MiaAfrika ni mijitu ya ajabu sana. Eti kwa kuwa Bill Gates kaingia huko kwenye crypto currency inaifanya iwe relevant!
 
Real value ya bitcoin ni 4,000,000USD.

And i am owning 0.5 BTC. am holding it for 7yrs.

NB: i invested what i afford yo lose!
 
Mkuu huyo mpuuzi mwache hivo hivo.
Kama Dangote ana mining tool ya Bitcoin, Bill gates invested huge amount of money in crypto.

Wenye hela siku zote ni wachache.
 

..Asante sana Dr kwa elimu mujarab
 



hakuna tajiri anaependa kumuona maskini akielekea kwenye utajiri...
maana yake yeye utajiri wake utakuwa shakani...
 
Real value ya bitcoin ni 4,000,000USD.

And i am owning 0.5 BTC. am holding it for 7yrs.

NB: i invested what i afford yo lose!

we jamaa umeweka rekodi ya ku quote uzi mrefu kuliko mtu yoyote humu jf lkn cha kusikitisha umeandika upupu wa sentensi 3 tu iv ungeandika bila kuqoute uzi usingesomeka
 
hakuna tajiri anaependa kumuona maskini akielekea kwenye utajiri...
maana yake yeye utajiri wake utakuwa shakani...
Hahaha sasa mbona kina the humble African wanatamani nasisi tutajirike kwa cryptocurrency?!
Ngoja zifike huku mbagala nami nitajaribu.
 
we jamaa umeweka rekodi ya ku quote uzi mrefu kuliko mtu yoyote humu jf lkn cha kusikitisha umeandika upupu wa sentensi 3 tu iv ungeandika bila kuqoute uzi usingesomeka
Mbona wewe umeni quote? . Unaona shida gani kuni-mention kwa jina bila kuni-quote. Acha upuuzi dogo
 
Ni upotoshaji mkubwa kuconclude eti bicoin itaanguka vibaya kwa kuwa tu kulikuwa na so called "tulip mania" au "Dotcom Mania" na zote zikaanguka.
 
Chuki
 
Totally disagree with this post. I believe that investing in bitcoin is the best solution, especially when it is at $ 8,000. When bitcoin was 5000 in the summer of 2017, I bought 4 bitcoins and then sold them at cex.io, when bitcoin was at $ 18,000. Now I've invested again and I'm waiting for the next jump and believe me he will. I also bought the Ether at localbitcoins.com I use two exchanges because it's safer.
 
Siku ya Leo ,naomba niwakilishe vitu hivi vichache katika biashara yetu ya cryptocurrency ,watu wengi hufurahia bitcoin ikiwa inashuka bei, kwa maana wana amini ,watainunua kwa bei rahisi ,bila kuzingatia vitu muhimu kwa wakati huo.
1.Timing[emoji2]
2.Momentum


1.Nikianza na timing
Timing ni ile hali ya kuvizia soko likianza kunyanyuka ,watu wengi wana sahau eneo hili wananunua Btc ikiwa kwenye bei ya chini lakini hawajui lini ,bei itaanza kunyanyuka ,hivyo huchukua muda mrefu kuona maendeleo yao katika uhifadhi wao Wa Btc.




2.Momentum
.....diagram.......
Momentum,hii ni fosi ambayo inatokea pale ambapo watu wana uza coin zao sokoni,(bearish),Momentum ni jambo la msingi sana katika wakati Wa kununua Btc,ni lazima uwangalie momentum ndio ununue bitcoin zako ,au coin nyingne,ukinunua bitcoin kwenye momentum kubwa hii itakuja kutesa katika kuona faida yako la ongezeko la bei.Hivyo basi usipo fuata momentum itakua ni sawa na jiwe linalo poromoka ktk mtelemko likikukimbiza

ZINGATIA
UPO UMUHIMU MKUBWA WA KUWA INVESTOR NA SIO KUWA GAMBLER .UTOFAUTI KATI YA INVESTOR NA GAMBLER NI NINI?
INVESTOR ,NI MUWEKEZAJI AMBAYE ANAWEKEZA FEDHA ZAKE KWENYE SOKO KWA KUANGALIA VITU HIVI MUHIMU
1.TIMING
2.MOMENTUM
KATIKA SOKO HUYU HAZINGATI (RETURN) HUYU ANA ANGALIA (MONEY KEEPING)
GAMBLER
NI MUWEKEZAJI AMBAYE HAZINGATII TIMING WALA MOMENTUM
HIVYO HUYU HUANGALIA RETURN BADALA YA MONEY KEEPING. HUWA ANAWEKEZA TU BILA MIPANGALIO YOYOTE


Sasa wengi wetu hapa nchini wanafanya gambling katika uwekezaji Wa bitcoin na cryptocurrency ,mwisho Wa siku huchukia uwekezaji huu kumbe,tatizo lao kubwa ni ukosefu wa elimu kuhusiana na biashara hii


#Grandpow

.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…