Kila kitu Zanzibar now. Mchezo wa Ligi ya Tanzania bara Azam vs Simba kuchezwa huko

Kesho beba Bango lililoanzikwa kwanini kila kitu ni zanzibar uende nalo pale ubungo utapata jibu sahihi
 
Unaumia ukiwa wapi ndugu?
 
Kila la heri AZAM dhidi ya Simba katika mchezo wenu kesho huko Zanzibar.
 
Unatoa povu ukiwa wapi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…